Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dogo mzuri sana ndio maana hata hakufikiria kumtoa mwaka huu inafikia mpaka anamuweka bench Hernandez na Berbatoz it mean mzee amemuamini sana dogo ndio maana, na naamini akiendelea na huu mpira wake atafika mbali sana....
He is the first established home grown striker since Mark Hughes
 
Kweli kabisa mkuu Nani ni mpigaji mzuri SAF anatakiwa kuliangalia hili suala.

Si unajuwa tatizo la kocha wetu akimuamini mchezaji basi ni huyo huyo huwa habadiliki hata hata afanye ujinga
 
Hao watamaliza top 6 not 4 maana spurs ndio wanazuiliwa na vitimu kama hivi

EPL ya mwaka huu haitabiliki week hii pundits waliaanza mpaka kuzungumza kuwa Spurs wanaweza kuwa mabingwa mwaka huu na kuwa wanacheza soka nzuri kuliko timu yeyote angalia leo kilichotokea. Kuongezea angalia Liverpool walivyowapelekesha Man City, leo wamenasa kwa Stock
 
Ewaaaaaa!! Mkuu Don the legend has strike..

Paul-Scholes-celebrates-Manchester-United-vs-_2702344.jpg
 
Back
Top Bottom