Swali ni je, hali ikiwa mbaya kisoka, akili itamkaa sawa Ed na wanaomtuma?Yah, Kwa MUFC ni bora ikose mapato.
Unapokuwa una Mkurugenzi ambae kwake yeye perfomance uwanjani haina uzito muhimu yeye apate hela tu, basi ni bora akose hela ndipo atakopoona umuhimu wa perfomance uwanjan.
Perfomance should equal Revenues, this is the right way!
Na ndio maana Adidas akawaambia kuwa wakiingia UCL basi zawadi yao ni hela nene kwenye dili ila wakiwa hawamo UEFA basi watakula Njugu.... hivi ndo soka inavotakiwa iongozwe.
Au wewe mkuu unaona sawa wa 18 kwenye ligi awe anapewa ubignwa wa ligi na hela sawa na alotokea wa kwanza?
Dakika hii tunazungumza, hali ya kisoka MUFC ipo shaghala baghala, unajua kwanini akili haijawakaa sawa Ed na Glazers, kwa sababu ya kifedha inazidi kunona.... Sasa kama wewe unashabikia hela kama Woody na Glazers sawa. Ila mimi nashabikia soka tuSwali ni je, hali ikiwa mbaya kisoka, akili itamkaa sawa Ed na wanaomtuma?
Sishabikii hela. Ila najua bila hela nisingekuwa na matumaini ya kuimarisha kikosi kwa kuwasajili wachezaji bora na kuajiri kocha boraDakika hii tunazungumza, hali ya kisoka MUFC ipo shaghala baghala, unajua kwanini akili haijawakaa sawa Ed na Glazers, kwa sababu ya kifedha inazidi kunona.... Sasa kama wewe unashabikia hela kama Woody na Glazers sawa. Ila mimi nashabikia soka tu
Wako wapi hao wachezaji bora na kocha bora saiv? Pale pana Bora kocha na bora wachezaji tu! Si kocha sio wachezaji, wote hawafai. timu inahitaji msasa, afu ule msasa mgumu wao sijui unakuwa namba ngapi mafundi wanaujuaSishabikii hela. Ila najua bila hela nisingekuwa na matumaini ya kuimarisha kikosi kwa kuwasajili wachezaji bora na kuajiri kocha bora
Lakini kwa kuwa timu ina hela, kuna fursa ya kutafuta watu bora, na kuboresha kikosi. Imagine hela isingekuwepoWako wapi hao wachezaji bora na kocha bora saiv? Pale pana Bora kocha na bora wachezaji tu! Si kocha sio wachezaji, wote hawafai. timu inahitaji msasa, afu ule msasa mgumu wao sijui unakuwa namba ngapi mafundi wanaujua
Lakini kwa kuwa timu ina hela, kuna fursa ya kutafuta watu bora, na kuboresha kikosi. Imagine hela isingekuwepoWako wapi hao wachezaji bora na kocha bora saiv? Pale pana Bora kocha na bora wachezaji tu! Si kocha sio wachezaji, wote hawafai. timu inahitaji msasa, afu ule msasa mgumu wao sijui unakuwa namba ngapi mafundi wanaujua
Acha waangalia sipendi aibu za ajabu ajabu MimiAcha uoga mkuu watu London wanatoa pound kibao kucheki game wewe unambwela ukiwa Bongo
Zitaje timu za kipuuzi tuzijue ili tuzikwepe.Kupenda ni kuchagua usilazimishe mtu ashibikie team za kipuuzi ulizokarilishwa
Leo nawatakia ushindi mwema mashetani wekundu
DIOUF REGRETS LIVERPOOL MOVE
Former Liverpool forward El Hadji Diouf regrets moving to Anfield and wishes he had joined Manchester United instead.
When asked by RMC Sport which shirt he regretted wearing, Diouf said: "I would say Liverpool. Because if I had the chance again I would go to Manchester United or Barcelona. At the time they wanted me also."
Na angelikuwa anajua basi katika Mchezaji ambaye Liverpool wanajuta kumsajili Ni Diouf na Baloteli.
lazima ujue kutofautisha kipindi mourinho alikuwa anamfunga unai emery hivi mourinho alikuwa na kikosi cha aina gani na unai anakikosi cha aina gani nahisi utapata jibuMara chwaaaa aseno kafa 2-1View attachment 956748
2-1 full timelazima ujue kutofautisha kipindi mourinho alikuwa anamfunga unai emery hivi mourinho alikuwa na kikosi cha aina gani na unai anakikosi cha aina gani nahisi utapata jibu
Tunarudishwa enzi za sodoma na gomora. Hili suala wazungu wamelishikilia sana mkuu na kizazi chetu mapenzi ya jinsia moja itakuwa hali ya kawaida sana ni moja ya aina ya maisha ya kawaida kwa kizazi chetu hapo baadae.Mizungu wakati mwingine ni mipuuzi kweli kweli...
Cheki inasapoti Ushoga,Usagaji live live na wanapost kwenye instagram account ya timu..wamenichefua sana hawa wapuuzi
View attachment 957267
Mkuu huoni ni aibu zaidi kukimbia kuangalia mechi kuliko aibu unayoweza kuipata baada ya kufungwaAcha waangalia sipendi aibu za ajabu ajabu Mimi
Mizungu wakati mwingine ni mipuuzi kweli kweli...
Cheki inasapoti Ushoga,Usagaji live live na wanapost kwenye instagram account ya timu..wamenichefua sana hawa wapuuzi
View attachment 957267