Nilikapotezea mkuu mana nkaona napoteza muda tuKwel mkuu angalia usije ukawa unabishana na mtoto wa form1 maana ndo timu zao hizo man city na psg
Mwache apige fujo huku maana kwenye uz wake yupo jamaa mmoja tu anacomment na kujijibuNilikapotezea mkuu mana nkaona napoteza muda tu
Yani uzi kama ule huwa siendi nyuzi zangu mm napenda kutia maguu ni liverpool,chelsea na arsenalMwache apige fujo huku maana kwenye uz wake yupo jamaa mmoja tu anacomment na kujijibu
Ni kwel mkuu maana Kule wamejaa watot wa form1 mpk4Yani uzi kama ule huwa siendi nyuzi zangu mm napenda kutia maguu ni liverpool,chelsea na arsenal
Nyie mmetesa kwenye nini sasa? Kwenye kupiga pasi?Unapoongelea giant unamaalisha Historia? We are not in the history bana. Huyo lyon yupo nafasi ya Pili hapo kwenye ligi yao. Kiufupi mlitesa kipindi chenu na sasa waachie wengine watese. Man u imebaki kuwa historia.
Hahaha hatar sana mkuu hawa huwa ndo wale timu ikifanya vibaya wanatafuta timu inayofanya vizur
Mkuu akikupa matokeo nitagi, nipo mbali na TVMkuu usituache kutupa matokeo ni muhimu vipi huko?
Ukweli mtupu mkuu.Na Hata Hawa Rant Boys Wa Chelsea ukiwaangalia Backgrounds zao utakutia Washabiki Waliohama Man Unite na Arsenal mwaka 2005 kwa Kumfuata Mourinho Chelsea baada Ya Kuanzishwa Timu Hiyo mwaka 2004.
Kabla ya 2004 hapakuwa na Mshabiki Wa Chelsea Bongo kwani Chelsea ilikuwa Ni Kina group la Fulham na West Ham kwani Hata Leeds United alikuwa juu kulilo wao.
Hahahahahalimelala mbele
Kwani kila unaemuona hapa yupo bongo.kwahiyo ulitaka waliopo bongo wawe man u tuuu. Kiufupi ushabiki wa mtu ni wa mtu mwenyewe na sio kuchaguliwa.HIV kumbe mkuu bongo kuna washabik wa man city
Sio kweli. Sio kila anakuwa sionupande wako basi hana timu. Wengine sisi tulikuwa wapenzi wa wrestling. Na washabiki wa mpira walikuwa wanatusumbua sana. 2011 nikakosa huduma ya wrestling na nikaakumua kishabikia mpira. Na nikanunua jezi ya city. Ili niwe tofauti na wengine. Kwahiyo tupi kiushabiki bana ila kunawalioingia baada ya timu zao kudorora.Hahaha hatar sana mkuu hawa huwa ndo wale timu ikifanya vibaya wanatafuta timu inayofanya vizur
Kuwafunga nyieNyie mmetesa kwenye nini sasa? Kwenye kupiga pasi?
Na mm huwa siendi nyuzi za chelsea nakujaga hapa ninapowafunga kirahisi. Sasa mfano niende kwenye nyuzi za liverpool wakati siwafungi nitaongelea nn kwao? Kumbe na wewe huendi kwenye nyuzi za man city kwasababu huna la kuwaongelea wanakupa kichapo tu. Last season ulikuwa second runner na alukuacha kwa point karibu 20. Utaenda kwenye uzi wake kutafuta nn? Nenda huko kwa liver maana hamkuachana sana na chelsea mliwaacha sana. Any way kubali kataa City kiboko yako tu. Have a good day.Yani uzi kama ule huwa siendi nyuzi zangu mm napenda kutia maguu ni liverpool,chelsea na arsenal
Waeleze. Mapema. Mm naomba watoke tu droo maana hawa jamaa wakikutanaga mtaani hatulali.Arsenal alichomfanya Spurs basi baada ya dakika 90' jiandaeni Kisaikolojia hapa jinsi watakvyokuja Na Fujo lao
Blah blah, sema wewe ulikuwa mshabiki wa timu gani, na ukaisaliti ukahamia kwa hao watoto wa juziSio kweli. Sio kila anakuwa sionupande wako basi hana timu. Wengine sisi tulikuwa wapenzi wa wrestling. Na washabiki wa mpira walikuwa wanatusumbua sana. 2011 nikakosa huduma ya wrestling na nikaakumua kishabikia mpira. Na nikanunua jezi ya city. Ili niwe tofauti na wengine. Kwahiyo tupi kiushabiki bana ila kunawalioingia baada ya timu zao kudorora.
Nyie mnajua tumeshawafunga mara ngapi, au nikuletee stats?Kuwafunga nyie
Mkuu kule hata hakuvutii, unaenda kufanyaje sasaYani uzi kama ule huwa siendi nyuzi zangu mm napenda kutia maguu ni liverpool,chelsea na arsenal