Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahahahahaha hapa ndo utajua wenda wazimu wa mashabik wa arsenal wakat sisi tunajiuliza lini huyu mzee atasepa kumbe mnamuwaza si ajabu tuliwauzia silvester
Ww kweli mpira huujui, kukosekana kwa young, means ule upande mtabumba bumba kama leo ,matic kapiga CB

Usishangae siku hiyo RB akapiga , pogba
 
Mourihno atuach kidogo mech moja fellain, matic, mctom na herera kwel
 
Mashabiki wengi wa aseno mnaugonjwa wa akili, kwa unavyofikiri utapata ushindi kabisa kwanza unaanza kufa kesho na Tot then unakufa na timu iliyojifia united
Endelea kupiga ramli, wakati unazid kusokomezwa mtaa wa 10

Yaan bornmouth hajashinda mech 4 lkn mnapumuliana point 1

Baada ya x mass huenda manyua akawa anagombea asishuke daraja
 
Kati ya vitimu sinaga presha navyo ni arsenal huyo torreira atafanya nini?
Hata liver alikuwa anatamba hivo hivo, kilichotokea alipaki bas , huku toreira akiwavuruga ,

Subir jtano ,nitakuja kufukua hii comment,
 
Namuonea huruma de gea na mashabiki wanaonunua tiket za msimu mzima bora sisi huku tunaumia ila hela hatuliw
Mkuu Radika .......... Manchester United haiwezi kurudi kwenye ubora wake Kwa kusajili wachezaji wakubwa wa £ 70 ml. £ 90 ml kama anavyotaka Mourinho .....Manchester United kiufundi timu iko hovyo hovyo United inacheza mpira Tactical display za Manager hazionekani .Manchester United hii inahitaji mtu mpya kwenye Technical benchi Enough is enough.
 
Team inajikaba yenyewe. Imekuwa kama team ya mafala tu
 
Hata liver alikuwa anatamba hivo hivo, kilichotokea alipaki bas , huku toreira akiwavuruga ,

Subir jtano ,nitakuja kufukua hii comment,
Na mimi nitakuja kuifukua hii siku ya Jumatano
 
Msimu huu Level Zako Leicester,Bournemouth Mkuu..

Arsenal inapambana Kutafuta top 4.Totehman anawafunga mbulula kama Man United na Chelsea...

Game na Nyie mnaodraw na Southampton wenye Goal difference ya Negative Itakua nyepesi sana kwetu..
Mashabiki wengi wa aseno mnaugonjwa wa akili, kwa unavyofikiri utapata ushindi kabisa kwanza unaanza kufa kesho na Tot then unakufa na timu iliyojifia united
 
Tabu iko pale pale,

Wale Wakikundi cha vibaka wanaoongozwa na kiongozi wao Jose Mourinho, naona wanajitahidi sana kuhamisha udhaifu wa Mou kwa wachezaji.

Nasema hivi msimamo wangu ni ule ule " TUTAPATA TABU SANA HADI PALE TEAM IKIJUA MCHAWI NI MOU"



Kama kawaida narudi tena msituni kuzidisha makombora ya kumtimua ibilisi huyu (Mou) ili team irudi zama zake. Endeleeni kuniombea wadau.
 
Halafu next game wana Arsenal..


Hawa jamaa mpaka mwisho wa msimu Watakua na tofauti ya point 30 na Mshindi wa 4...
Tofauti ya point kati ya City na Nyumbu ni 16 hapo napo kweli utasema ligi bado yani kwamba na wao wapo kwenye mbio za ubingwa
aaaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…