Mou leo akizingua hatutamuelewa utatoaje paun mil 30 mchezaj maxima na anakiwango kizuri alafu unamuweka mchezaji wa kiungo atumike bench...huyu mbwa atuachie timu shenzi kabisa
Amemsajili sane akiwa mdogo akaona kipaji chake akampa nafasi akamwamini hadi sasa dogo ni miongoni mwa wachezaji tegemeo Wa city. Amekuwa akimpa vidakika kadhaa Phil Phoden ambaye ni kinda. Mfano sisi Angel Gomes au Tahit Chong wangekuwa wanapewa hata vidakika vya kudanganyishia
Na kikubwa hapa si lazima awaibue yeye ila ana uwezo Wa kuwaamini na kuwafanya wachezaji wachanga wajiamini na waone wana thamani na mwisho wakafanya kile alichokitarajia