kurlzawa JF-Expert Member Joined Jan 23, 2018 Posts 16,694 Reaction score 20,648 Nov 14, 2018 #95,641 Thibaut ni bora kuliko uyo kipofu radika said: Hahahah haters bana hapa umeonesha rangi yako halisi ya moyoni kwako de gea? Kipa yupi bora pale wa kumuweka benchi? Click to expand...
Thibaut ni bora kuliko uyo kipofu radika said: Hahahah haters bana hapa umeonesha rangi yako halisi ya moyoni kwako de gea? Kipa yupi bora pale wa kumuweka benchi? Click to expand...
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Nov 14, 2018 #95,642 kurlzawa said: Thibaut ni bora kuliko uyo kipofu Click to expand... Uki sahihi kabisa
kurlzawa JF-Expert Member Joined Jan 23, 2018 Posts 16,694 Reaction score 20,648 Nov 14, 2018 #95,643 Uki ni nini? radika said: Uki sahihi kabisa Click to expand...
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Nov 14, 2018 #95,644 kurlzawa said: Uki ni nini? Click to expand... Ukiwa
kurlzawa JF-Expert Member Joined Jan 23, 2018 Posts 16,694 Reaction score 20,648 Nov 14, 2018 #95,645 Hii team ata ikicheza na alliance apo nyamagana itapigwa mno
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Nov 14, 2018 #95,646 kurlzawa said: Hii team ata ikicheza na alliance apo nyamagana itapigwa mno Click to expand... Hizi post huwa zinakuja ikifungwa akichapwa mtu kimyaa viwete wanatembea vipofu wanapona hata wasiojua kuandika na kusoma huanza ikifungwa
kurlzawa said: Hii team ata ikicheza na alliance apo nyamagana itapigwa mno Click to expand... Hizi post huwa zinakuja ikifungwa akichapwa mtu kimyaa viwete wanatembea vipofu wanapona hata wasiojua kuandika na kusoma huanza ikifungwa
kurlzawa JF-Expert Member Joined Jan 23, 2018 Posts 16,694 Reaction score 20,648 Nov 14, 2018 #95,647 radika said: Hizi post huwa zinakuja ikifungwa akichapwa mtu kimyaa viwete wanatembea vipofu wanapona hata wasiojua kuandika na kusoma huanza ikifungwa Click to expand... Team ya kukaa nyuma tu ina mabeki 11 ni upuuzi mtupu
radika said: Hizi post huwa zinakuja ikifungwa akichapwa mtu kimyaa viwete wanatembea vipofu wanapona hata wasiojua kuandika na kusoma huanza ikifungwa Click to expand... Team ya kukaa nyuma tu ina mabeki 11 ni upuuzi mtupu
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Nov 14, 2018 #95,648 kurlzawa said: Team ya kukaa nyuma tu ina mabeki 11 ni upuuzi mtupu Click to expand... Ulipochapwa 2-3 hukuona hilo?
kurlzawa said: Team ya kukaa nyuma tu ina mabeki 11 ni upuuzi mtupu Click to expand... Ulipochapwa 2-3 hukuona hilo?
kurlzawa JF-Expert Member Joined Jan 23, 2018 Posts 16,694 Reaction score 20,648 Nov 14, 2018 #95,649 Ulivyochapa ukapata kombe sio? radika said: Ulipochapwa 2-3 hukuona hilo? Click to expand...
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Nov 14, 2018 #95,650 kurlzawa said: Ulivyochapa ukapata kombe sio? Click to expand... Hahahahaha mshabiki wa manchester city unazungumzia makombe manchester united baba lao england
kurlzawa said: Ulivyochapa ukapata kombe sio? Click to expand... Hahahahaha mshabiki wa manchester city unazungumzia makombe manchester united baba lao england
kurlzawa JF-Expert Member Joined Jan 23, 2018 Posts 16,694 Reaction score 20,648 Nov 14, 2018 #95,651 Kipindi hamna offside sawa mlikuwa mnakaba goal keeper lakini toka technology imekua mmekuwa kama njombe mji radika said: Hahahahaha mshabiki wa manchester city unazungumzia makombe manchester united baba lao england Click to expand...
Kipindi hamna offside sawa mlikuwa mnakaba goal keeper lakini toka technology imekua mmekuwa kama njombe mji radika said: Hahahahaha mshabiki wa manchester city unazungumzia makombe manchester united baba lao england Click to expand...
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Nov 14, 2018 #95,652 kurlzawa said: Kipindi hamna offside sawa mlikuwa mnakaba goal keeper lakini toka technology imekua mmekuwa kama njombe mji Click to expand... Yes saiv zimekuja penat za steling
kurlzawa said: Kipindi hamna offside sawa mlikuwa mnakaba goal keeper lakini toka technology imekua mmekuwa kama njombe mji Click to expand... Yes saiv zimekuja penat za steling
kurlzawa JF-Expert Member Joined Jan 23, 2018 Posts 16,694 Reaction score 20,648 Nov 14, 2018 #95,653 Haswa izo ndiyo tunazozitaka radika said: Yes saiv zimekuja penat za steling Click to expand...
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Nov 14, 2018 #95,654 kurlzawa said: Haswa izo ndiyo tunazozitaka Click to expand... Basi mtachukua makombe yote
kurlzawa JF-Expert Member Joined Jan 23, 2018 Posts 16,694 Reaction score 20,648 Nov 14, 2018 #95,655 Hilo sio la kuuliza radika said: Basi mtachukua makombe yote Click to expand...
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Nov 14, 2018 #95,656 kurlzawa said: Hilo sio la kuuliza Click to expand... We wa kupigwa na lyon?
kurlzawa JF-Expert Member Joined Jan 23, 2018 Posts 16,694 Reaction score 20,648 Nov 14, 2018 #95,657 Wewe unapigwa hadi na watfod radika said: We wa kupigwa na lyon? Click to expand...
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Nov 14, 2018 #95,658 kurlzawa said: Wewe unapigwa hadi na watfod Click to expand... Na ikipita sheria mpya ya usajili lazima pep akimbie si unakumbuka msimu wake wa kwanza?
kurlzawa said: Wewe unapigwa hadi na watfod Click to expand... Na ikipita sheria mpya ya usajili lazima pep akimbie si unakumbuka msimu wake wa kwanza?
kurlzawa JF-Expert Member Joined Jan 23, 2018 Posts 16,694 Reaction score 20,648 Nov 14, 2018 #95,659 Pep hata asipo sajiri hauwezi mlinganisha na mou chizi radika said: Na ikipita sheria mpya ya usajili lazima pep akimbie si unakumbuka msimu wake wa kwanza? Click to expand...
Pep hata asipo sajiri hauwezi mlinganisha na mou chizi radika said: Na ikipita sheria mpya ya usajili lazima pep akimbie si unakumbuka msimu wake wa kwanza? Click to expand...
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Nov 14, 2018 #95,660 kurlzawa said: Pep hata asipo sajiri hauwezi mlinganisha na mou chizi Click to expand... Hahaha apewe lingard na damian uone hata kama nafas ya 3 atashika
kurlzawa said: Pep hata asipo sajiri hauwezi mlinganisha na mou chizi Click to expand... Hahaha apewe lingard na damian uone hata kama nafas ya 3 atashika