Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa juve tukajilipue tu hamna sababu ya kuogopa OT tulicheza hovyo sana
 
Pogba anakuofa vitu viwili kwa wakati mmoja furaha na karaha hapo hapo

game ilikuwa nzuri tofauti na matarajio yangu.....Mata anafanya mambo magumu kuwa mepesi.

three important points kibindoni

GGMU
Pogba bwana huyo jamaa hata sijui hua anafkiria nin anapokua uwanjani akifanya nzur bas hamalizi game kuharibu.
Goli la jana yeye ndo chanzo.
 
Pogba tushamzoea yeye kuharibu hua hachelewi.
Lindelof hio number yake kwa game mbili hizi anaitendea haki sana.
 
Ok nipe list ya timu ambazo wewe unafikiri man united anaziogopa

Inawezekana tunatofautiana kwenye neno kuogopa, labda unazungumzia point ya kwamba haogopi tena kufungwa kwa sababu ni kawaida kwake kufungwa.

Back then Man Utd akifungwa ilikuwa ni taharuki na washabiki tunajiuliza kafungwaje?

Siku hizi akishinda ndo tunajiuliza kashindaje!

Nirudi kwenye swali lako: Tottenham na Juventus.
 
Lindelof anahitaji confidwnce tu ndio kitu alichokosa. Naona toka mechi ya juve kiwango kimeongezeka. Na umakini umeongezeka. Anahitaji beki kiongozi ambae atakae cheza nae pale kati.
wazee wa kazi lindelof kawa bonge ya deffender,mechi ya jana na ya juve jamaa kajiamini mpk nashangaa imekuaje gafla hivyo.
ila wakitengeneza partnership na bailly 5 na 2 itakuwa vzr sana.
hongera lindelof kwa perfomance nzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…