Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Umeanza experience badala ya fact... Mwenzio nimemwaambia alete statistics amekimbia, we nae umekuja et anawindwa... Badala utuletee data za uwanjani hapa unaanza kulete longolongo... Mwishowe utasema ni bora kwa sababu ni fundi wa hair style
 
Umeanza experience badala ya fact... Mwenzio nimemwaambia alete statistics amekimbia, we nae umekuja et anawindwa... Badala utuletee data za uwanjani hapa unaanza kulete longolongo... Mwishowe utasema ni bora kwa sababu ni fundi wa hair style
Fundi anagombaniwa na giants club mzaz sasa Fundi gan asie hata na tetesi yakutajwa na club kubwa yoyote AF pia uyo ginyo angekuwa Fundi angeipeleka mbali sana Italy anabak kupiga mipasi isiyo na efdect
 
Yale yale ya bakayoko na matic sina hata cha kukwambia kwanza najitia aibu kujadiliana na mtu kama wewe

Hata mata hamfikii kaangalie statistics za mata angalia na huyo mpiga pasi wenu kabla hata hujaamia kwa pogba na matic
 
Umeanza experience badala ya fact... Mwenzio nimemwaambia alete statistics amekimbia, we nae umekuja et anawindwa... Badala utuletee data za uwanjani hapa unaanza kulete longolongo... Mwishowe utasema ni bora kwa sababu ni fundi wa hair style
Stastics za kupiga pasi hivi nyie washabik wa timu za kuzuka kama uyoga mnajitambua kweli? Jordan henderson wa liverpool alikuwa na takwimu kama za huyo mrembo wako lakin inapofikia suala la value hata kwa pogba hatii mguu
 
Na ndio maana alichukua kikomba, sasa wew saiz tu ulisha tobolewa kias hcho bado uko kwenye mbio za ubingwa kweli?
Sasa nao chelsea wapo kwenye mbio za ubingwa? Kesho arsenal mnakuwa nae sawa hadi mwez wa 12 mtapigania top 4 nakwambia
 
Umeanza experience badala ya fact... Mwenzio nimemwaambia alete statistics amekimbia, we nae umekuja et anawindwa... Badala utuletee data za uwanjani hapa unaanza kulete longolongo... Mwishowe utasema ni bora kwa sababu ni fundi wa hair style
Ndo mana nakwambia wewe unaongozwa na chuki sio mpira hiyo lig aliyotoka kiungo wako huyu mnyama kabeba kila kitu sina haja ya kuingia ndani sana wewe danganyika na vipasi
 
Fundi anagombaniwa na giants club mzaz sasa Fundi gan asie hata na tetesi yakutajwa na club kubwa yoyote AF pia uyo ginyo angekuwa Fundi angeipeleka mbali sana Italy anabak kupiga mipasi isiyo na efdect
Mkuu mipasi yake ina effect ndo mana clabu yake iko juu ki msimamo kuliko ya huyo pogba mwenye mipasi isiyo na effect...


Hata Lukaku kabla ya kuja Man u aligombaniwa na clabu nyingi lkn saiz mnamwita garasa... 😂😂😂
 
Ndo mana nakwambia wewe unaongozwa na chuki sio mpira hiyo lig aliyotoka kiungo wako huyu mnyama kabeba kila kitu sina haja ya kuingia ndani sana wewe danganyika na vipasiView attachment 906834
Mkuu mbona unaleta stastics za 2014 mi nimekwambia naomba za this season, sasa mtu ashakua garasa bado unamlinda na data za miaka hyo.. Hata Lukaku kuna kipindi alikua bora lkn leo mnamwita garasa
 
Mkuu mbona unaleta stastics za 2014 mi nimekwambia naomba za this season, sasa mtu ashakua garasa bado unamlinda na data za miaka hyo.. Hata Lukaku kuna kipindi alikua bora lkn leo mnamwita garasa
Ushwahi kuona mchezaj bora wa ligi anachaguliwa ndani ya mechi 9?
 
Mkuu mbona unaleta stastics za 2014 mi nimekwambia naomba za this season, sasa mtu ashakua garasa bado unamlinda na data za miaka hyo.. Hata Lukaku kuna kipindi alikua bora lkn leo mnamwita garasa
Pogba ukimweka sokon huwezi kumuuza bei sawa na huyo mchezaji wako nimekwambia unakumbuka bakayoko alipocheza mechi kama hizo na ulinganifu wa matic? Saiv hata ac milan hana namba
 
Miralem Pjanic on Cristiano Ronaldo: "Everyone talked about Paul Scholes as being extraordinary, but not because he was out there doing dummies. By keeping things simple, he made himself special. I think Ronaldo learned from that, his game became more concrete"
 
Kwa mfumo na uchezaji Wetu ni vigumu kuanza na striker mwingine zaidi ya lukaku....lukaku anahold sana mpira pale mbele nadhani Mou anajua akimuweka nje lukaku hatakuwa na mbinu nyingine ya kufanya mashambulizi.....
 
Stastics za kupiga pasi hivi nyie washabik wa timu za kuzuka kama uyoga mnajitambua kweli? Jordan henderson wa liverpool alikuwa na takwimu kama za huyo mrembo wako lakin inapofikia suala la value hata kwa pogba hatii mguu
Mkuu huyu anamtetea joginyo mzee wa back pas.yan defence na defence midfielder ndo wamepiga pasi nying chelsi meaning wanapasiana wao kwa wao kama kupoteza muda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…