Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ianni, Sarri na Mourinho, yameisha.!

Baada ya Ross Barkley kufunga goli la kusawazisha katika dikaka za majeruhi , kocha msaidizi wa Maurizio Sarri , Marco Ianni alitoka kwenye benchi lake na kwenda kushangalia mbele ya Jose Mourinho na kuibua tafrani katika eneo la ufundi.

" Sichukizwi na kitu chochote, kilichotokea na msaidizi wa Sarri , Sarri ndio alikuwa wa kwanza kuja kwangu na kuniambia kwamba atalifanyia kazi."

"Ianni ameshakuja kwangu na kuomba msamaha , nimemuambia sahau kuhusu hilo, hata mimi nilishafanya makosa mengi kwenye maisha yangu ya soka."
 
Naona bodi imegundua kosa lao mkuu kama goli la rudiga na bakley daaa hatuna 4 kabisa yani
Central back za man u hakuna kitu kabisa. Underpressure huwa wana crack. Angalia beki kama lindelof.. always lazima afanye uzembe timu ifungwe. Smalling nae co wa kuaminika. Usajili ujao cb zinahitajika
 
Kosa kumtoa aliwapa shida sana nilichogundua hadi sasa mata sio wa mchezo huyu ni key player wetu
Kuna watu humu niliona wanambeza Scholes,niliwashangaa sana.

Alichosema Scholes kuhusu Mata ndio hiki sasa. Alimzungumzia Mata akimlinganisha na akina KDB lakini akashangaa kwanini Mou anampanga nafasi isiyomfaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…