Kuna muda nashindwa hata nianzie wapi kumlaumu mou,hawa wachezaji ni wazembe kama ulivyosema hawana roho ya kupambana kabisa.
Timu ni mbovu kwelikweli.
Kuna muda nashindwa hata nianzie wapi kumlaumu mou,hawa wachezaji ni wazembe kama ulivyosema hawana roho ya kupambana kabisa.
Timu ni mbovu kwelikweli.
Magoli yote uzembe wa bek kama lile ya rudiga tumewapa tu nafikir ed angezingatia matakwa ya kocha tungekuwa mbali sana timu yenyewe ipo kwao hamma hata goli za mipango