Chelsea threat ni kutoka kwa Hazard tu basi, nina uhakika Mourinho akiandaa plan za kumdhibiti basi! Umeshasahau jinsi Mou alivyomoutsmart Klopp kwenye mechi iliyochezwa Old traford msimu uliopita?
Mourinho hawezi kuandaa mpango wa kumdhibiti Hazard tu Kwa hii Chelsea ya sasa kwasabu Hazard anazungukwa na wachezaji wengine wengi wenye madhala. Kitu cha Mou anapaswa kufanya Utd inabidi icheze kitimu yote.
Mourinho hawezi kuandaa mpango wa kumdhibiti Hazard tu Kwa hii Chelsea ya sasa kwasabu Hazard anazungukwa na wachezaji wengine wengi wenye madhala. Kitu cha Mou anapaswa kufanya Utd inabidi icheze kitimu yote.
Sibishi najua hatujawah kuwafunga darajan Toma 2012 pie bila mou kuwapiga Mara Mbili 2-0 na last match 2-1 mungekua hamjawah kufungwa na United ila mourinho ndy anawamudu.... Msitegemeee penalty badae lazma mkalishwe... Mkipona draw
We mwenyewe unajua liverpool ni timu bora kwako ila unachoandika ni ushabiki tu suluhu liverpool aliyotoa na nyie ni sawa na kufungwa tu hata nyie hamjaamini matokeo yale ndo mana unamtaja klopp kwa kuwa ana timu bora nyie mnamchezaj mmoja tu wa kubadili matokeo liverpool wanafoward line nzur sana .