severinembena
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 2,435
- 2,402
Vipi huko Martial bado hajaletabimpact? Mana huku keshaleta na mpira umekwishaNaona Mou kaamua kujilipua..mchezaji kama Martial hana impact yoyote anaanzaje kwenye mechi muhimu kama hii??? Leo disaster tena.
Huyu mwamba mnafki kinoma..Martial ni muda sasa apewe new contractVipi huko Martial bado hajaletabimpact? Mana huku keshaleta na mpira umekwisha
Huyo kocha kasajili mabeki watatu wote wabovu anataka wengeni. Kasajili viungo watatu lakini wote anashindwa kuwatumia. Kasajili washambuliaji wawili lakini bado analialia. Tabia yake na ufundishaji wakendio unamuangusha. Mechi imeisha na wachezaji wamejituma ata kwenda kuwapongeza huyo anakimbilia vyumbani anawaacha wachezaji kama awajafanya la maana.Tubak na uswahili wetu mzungu si mwenzetu ule uwanja haukuwa na wazo wala bango kama ambalo unapenda
Ha ha hambona kama mou anakimbia 1kwa1
Huwa napata raha sana kuangalia hizi interview za mashabiki haswa huyu jamaa...mwishoni kamponda lukaku nmecheka sana eti bora kule mbele tuweke hata friji watu wanywe vinywaji
Dah King Ngwaba madogo wamenichania mkeka ila kesho Arsenal, Chelsea na Man city watanitoa najua.
Unajua mnashindwa kutambua mambo kuna first choice na second choice mourinho mapendekezo yake ya target za kwanza hajapata ed kazingua hao ni chaguo la pili kwa mfano lukaku badala ya greizman bailly badala ya kudibali wapo wengi mkurugenz alikuwa akichelewaHuyo kocha kasajili mabeki watatu wote wabovu anataka wengeni. Kasajili viungo watatu lakini wote anashindwa kuwatumia. Kasajili washambuliaji wawili lakini bado analialia. Tabia yake na ufundishaji wakendio unamuangusha. Mechi imeisha na wachezaji wamejituma ata kwenda kuwapongeza huyo anakimbilia vyumbani anawaacha wachezaji kama awajafanya la maana.
Yani tungelogwa kumchukua willian tumtoe martial ulikuwa ni ukichaa martial si mkabaj mpe mpira pogba nae mpe mpira daaMartial niliemuona leo na pogba bado imenifanya niendelee kuamini katika vipaji vya hawa watu hasa Martial binafsi namuelewa sana ni kitendo cha kuaminiwa na kupewa confidence basi ni bonge moja la mtu.
Second half ni kama wachezaji wamekuja kumuonesha Mou kwamba wanaweza kufanya kitu.
Naamini bado Mou ana mda wa kubadilisha mbinu zake na migogoro yake na wachezaji mambo yakawa mukide pale O.T.
Utani lakin ni kweli. Lukaku is too heavy.. kugeuka mzito. Not creative
Huwa napata raha sana kuangalia hizi interview za mashabiki haswa huyu jamaa...mwishoni kamponda lukaku nmecheka sana eti bora kule mbele tuweke hata friji watu wanywe vinywaji