Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,319
- 201,540
Kwa mfano attacking force yetukwakweli huyu jamaa na mwenzake radika wako vizuri sana,
kuna watu hadi leo hii ukiwaambia hii timu haina wachezaji wa kushinda mechi, utaambulia matusi
-kuna watu bado wanaamini hii timu ni sawa na Liverpool ya klop.
Martial
Rashford
Lingard
Wote Hawa ni average players
Huwezi fananisha na
Firmino
Mane
Salah