Leo ndo nimeona Manchester kuna tatizo tena kubwa sana na lisipotatuliwa hali itakua mbaya sana wachezaji wamechoka hawana ari tena wanacheza tu ili mradi wakamilishe ratiba inauma sana.
Mou ni tatizo lakini sometimes wachezaji nao wacheze kwa ajili ya heshima ya timu sio mtu.