Hahaha!!...waandishi wa habari wa UK watamkoma huyu jamaa..leo mwishoni mwa press kawazodoa tena kama kawaida yake..Mourinho amezidi kuichefua roho yangu kwa pre match conference aliyoifanya leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakome,Media za Uingereza zimekaa kiudakudaku sana.Hahaha!!...waandishi wa habari wa UK watamkoma huyu jamaa..leo mwishoni mwa press kawazodoa tena kama kawaida yake..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie ndo mlimuita Judah sioumejikaza sana kuandika
Ngoja banley afanye yake
E&K
Hizo pumba ndizo zinawafaa. Akiongea ishu za msingi, wana kasumba ya kuongeza na kujenga tafsiri kwa hisia binafsi. Wanapoteza na kuharibu alichokusudia.Hali ya kusemwa sana, inafanya wachezaji wapoteze hali ya kujiamini.Sasa hapo kawakomesha nini, kujibu pumba?
For sure
Mimi nikiangalia huwa nasema atakaefungwa sawa tu mood inakata mapema tena nikiona pasi nyingi zinapigwa kurudi nyuma
Sijui na sie tutafuata mkondo wa Liverpool? Kukaa miaka 20 bila premiership title?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nikiangalia huwa nasema atakaefungwa sawa tu mood inakata mapema tena nikiona pasi nyingi zinapigwa kurudi nyuma
Sent using Jamii Forums mobile app
wao wanafuata kocha anataka niniKwa mshambuliaji kama Lukaku,sijui!
Morata anazingua lakini Chelsea wametumia uwezo wa kina hazard na Pedro wameshinda game.
Ukiiangalia wachezaji wetu ni kama vile hawajuagi nini wanataka wanapokuwa uwanjani.