Ukimtoa fabinho na shaqir si walicheza final ya europa hao au?Hii ni team B ya Liverpool
1: Mignolet
2: Clyne
3: Moreno
4: Matip
5: Lovren
6: Fabinho
7: Shaqiri
8: Henderson
9: Sturridge
10: Origi
11: Lallana
Nauhakika tukiwaazima Man U hiki kikosi mna uwezo wa kupata matokeo hata kwa Man City au Liverpool yenyewe. Sio mmejaza michezaji yenye majina lakini uwezo zero. Mtu yupo na nyavu ashamtoka kipa na bado anakosa goli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes ndio maana nakuambia ni kikosi kinachoweza kuwapa matokeo na sio wale akina bolingoli striker mzigo mzito kama gunia la misumariUkimtoa fabinho na shaqir si walicheza final ya europa hao au?
Hakufeli wao ndo waliokuwa wakipinga kwa mfano tobby na magure walikuwa wanataka kuja bodi ikazuia leo aliezuia akikuwepo uwanjani goli zimefungwa kwa njia zile zile
Rashford alikuwepo bench baada ya jones kuumia kaingia lindelof means hawez kucheza matic alikuwa hana mech fitness mahala pake kachukua fellain martial sijajua
Umeng'ang'ania kocha hapewi hela asajili ila Leo kakutana na team ambayo haijasajili hata mchezaji mmoja katika dirisha hili na kutupa kipigo heavy 3-0.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo nimekubali la kupoteza control ya dressing room post yangu ipo hapo mourinho kubak pale kutagawa timu japo kuna watu nyuma yake wamemuangusha kwa mfano kwa sasa kuirudisha timu ktk mentality ya ushind ni vigum sana hii maana yake kama angepata watu wake aliokuwa akiwataka haya mambo yangetatulika taratibu ila kwa sasa ni ngumu kocha mwenyewe hana imani na safu yake ya ulinzMkuu Nataka Nikwambie kitu! Unajua Mara Nyingi unapozozana Kihoja na wale Member Wa Mou-Out Mimi huwa napotezea.
Lakini Ni Kwamba ushafika Muda Wa Kuwa Uukubali Ukweli!! Chanzo cha yote Haya Ni Kwamba "Mourinho Amepoteza Control ya Dressing Room".
Ni Sawa na Conte last Season!! Mtazame Sarri sasahivi wachezaji Ni Walewale Wa Conte lakini Wanaperform vizuri kwasababu bado anaudhibiti Wa Dressing Room.
Hilo nimekubali la kupoteza control ya dressing room post yangu ipo hapo mourinho kubak pale kutagawa timu japo kuna watu nyuma yake wamemuangusha kwa mfano kwa sasa kuirudisha timu ktk mentality ya ushind ni vigum sana hii maana yake kama angepata watu wake aliokuwa akiwataka haya mambo yangetatulika taratibu ila kwa sasa ni ngumu kocha mwenyewe hana imani na safu yake ya ulinz
Hapana mkuu kweli lukaku kazingua si kidogo ila kutupa matokeo ni ngumu ndo mana klopp anawafukuza kimya kimyaYes ndio maana nakuambia ni kikosi kinachoweza kuwapa matokeo na sio wale akina bolingoli striker mzigo mzito kama gunia la misumari
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubarikiwe mkuu Mimi pia Nina Iman kama yakoNaiunga mkono timu namuunga mkono kocha... Yaliyotokea ni matatizo madogo tu na yapo kwenye kila timu...
GGMU
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo nimekubali la kupoteza control ya dressing room post yangu ipo hapo mourinho kubak pale kutagawa timu japo kuna watu nyuma yake wamemuangusha kwa mfano kwa sasa kuirudisha timu ktk mentality ya ushind ni vigum sana hii maana yake kama angepata watu wake aliokuwa akiwataka haya mambo yangetatulika taratibu ila kwa sasa ni ngumu kocha mwenyewe hana imani na safu yake ya ulinz
Fact hilo lipo wazi halipingiki.In any sport, When a coach loses the dressing room there’s only one solution.
He has to go!!!
Mkuu hayo maneno yana maana sana alishafanya maombi toka mwezi wa nne hadi anakwenda pre season kampata fred tu dalot kachukuliwa aligoma kutia mkataba na porto united ikatumia mwanya huo so ukiangalia kocha alishapagawa hajui itakuwaje ligi ikianza ni kikos kipi atakuwa nacho kwamba angel gomes aje acheze kumi?Hivi radika unayakumbuka Maneno Haya ya Mourinho aliyoyasema Baada ya Mechi vs Liverpool kwenye Preseason tour? ↓↓
"We started the game with a lot of players who will not be in our squad on August 9. This is not my squad, not even half, not even 30% of my squad. So don't look to this."
Unadhani Kocha hasa anayeithamini Kazi Yake anaweza sema Maneno hayo?
Sasa Kwa Maneno Hayo Wale Vijana aliikwenda Nao Marekani Unadhani Watamuelewaje Mourinho?
Hii ndio point mkuu radika anashindwa kuikubali kwa 100%.Hakuna solution kwa sasa zaidi ya Mou kufukuzwa..Mkuu Nataka Nikwambie kitu! Unajua Mara Nyingi unapozozana Kihoja na wale Member Wa Mou-Out Mimi huwa napotezea.
Lakini Ni Kwamba ushafika Muda Wa Kuwa Uukubali Ukweli!! Chanzo cha yote Haya Ni Kwamba "Mourinho Amepoteza Control ya Dressing Room".
Ni Sawa na Conte last Season!! Mtazame Sarri sasahivi wachezaji Ni Walewale Wa Conte lakini Wanaperform vizuri kwasababu bado anaudhibiti Wa Dressing Room.
Mkuu radika hakuna mtu aliyemuangusha Mourihno zaidi yake mwenyewe na mbinu zake mbovu.Amesajiliwa wachezaji wangapi mpaka sasa?Hilo nimekubali la kupoteza control ya dressing room post yangu ipo hapo mourinho kubak pale kutagawa timu japo kuna watu nyuma yake wamemuangusha kwa mfano kwa sasa kuirudisha timu ktk mentality ya ushind ni vigum sana hii maana yake kama angepata watu wake aliokuwa akiwataka haya mambo yangetatulika taratibu ila kwa sasa ni ngumu kocha mwenyewe hana imani na safu yake ya ulinz
Naheshimu maoni yako mkuu huenda unachoongea kina ukweli point kabisa.Mkuu radika hakuna mtu aliyemuangusha Mourihno zaidi yake mwenyewe na mbinu zake mbovu.Amesajiliwa wachezaji wangapi mpaka sasa?
Hakuna kocha anayetimiziwa mahitaji yake kwa 100%..Wengine hawalalamiki ndio maana huwasikii.Hawa wachezaji waliopo wakipata kocha mpya watabadilika sana.
Sent using Jamii Forums mobile app