Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sasa Kama Kafeli Kwa Mabeki Hao wote Watatu unadhani Ed atamuamini tena kuwa akimpa pesa akatafute Beki hatofeli tena?
Hakufeli wao ndo waliokuwa wakipinga kwa mfano tobby na magure walikuwa wanataka kuja bodi ikazuia leo aliezuia akikuwepo uwanjani goli zimefungwa kwa njia zile zile
 
Mi namuheshimu sana mourinho ni kocha mzuri sana duniani na ukitaja makocha kumi bora duniani jina lake lipo
Nachoona kuna kampeni wachezaji wameianza wakiongozwa na pogba Sanchez na de gea

E&K
 
Mi namuheshimu sana mourinho ni kocha mzuri sana duniani na ukitaja makocha kumi bora duniani jina lake lipo
Nachoona kuna kampeni wachezaji wameianza wakiongozwa na pogba Sanchez na de gea

E&K
Pogba namuona kabisa kakata tamaa bado kuna martial naona mourinho asipotoka kuna watu tutawapoteza na timu itakosa fighting spirit ni bora kumtoa kafara japo si vizur kocha kuendeshwa na players migomo itaendelea tu ikitokea wamefarakana na kocha.
 
Hii ni team B ya Liverpool

1: Mignolet
2: Clyne
3: Moreno
4: Matip
5: Lovren
6: Fabinho
7: Shaqiri
8: Henderson
9: Sturridge
10: Origi
11: Lallana

Nauhakika tukiwaazima Man U hiki kikosi mna uwezo wa kupata matokeo hata kwa Man City au Liverpool yenyewe. Sio mmejaza michezaji yenye majina lakini uwezo zero. Mtu yupo na nyavu ashamtoka kipa na bado anakosa goli.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mourinho ameshindwa kutengeneza timu ambayo itakuwa na tactical discipline,badala yake amekuwa mtu wa kubahatisha tu,leo kamweka huyu kesho yule kesho kutwa mwingine..utatengenezaje timu yenye cohesion??

Japo kuwa leo naona wachezaji wamemlet down mourinho,ila pia kuna vitu mourinho angetakiwa adeal navyo kisawasawa kama kutengeneza timu yenye tactical discipline na cohesion..matic,herrera,lukaku ni moja ya wachezaji waliomlet down mourinho leo..

All in all hata kama tukipata kocha mpya united itabidi sasa imuamini impe kocha hela ya kununua straiker mwingine,na marekebisho kwenye defence line,,pamoja na right winger..

Ila ikumbukwe kuwa hata kwa kikosi hikihiki tulipaswa kuwafunga spurs vizuri tu leo OT..

Nimwemwona Mourihno kama akiwaaga washabiki hivi..maybe he is on the way out..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…