Habari za uhakika zinasema Mfarisayo anatafakari kuingia na jina jipya baada ya mkong'oto wa CL hata Equlpsssss naye yupo njiani na jina jipya BJ yeye kaamua kususa, Manda na Belo wapo wakichungulia tu na kutafakari kama December itaisha kwa amani ili warejee January na nguvu ingine ya soda. Papizo anaongoza sala hapa jukwaani lakini hana uzoefu zinamtokea puani. Ogah naye hajaonekana alifikiri EPL ni chandimu.
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Teh teh teh. Usije ukahama kijiwe lakini. Makosa uliyotaja hapo juu ya Man U ni kweli yapo, lakini kumbuka kwamba kuna nafasi ya kuyarekebisha. Usishangae tukichukua kikombe cha EPL...........Nitashangaa sana msimu huu Man U akishinda EPL....
Habari za uhakika zinasema Mfarisayo anatafakari kuingia na jina jipya baada ya mkong'oto wa CL hata Equlpsssss naye yupo njiani na jina jipya BJ yeye kaamua kususa, Manda na Belo wapo wakichungulia tu na kutafakari kama December itaisha kwa amani ili warejee January na nguvu ingine ya soda. Papizo anaongoza sala hapa jukwaani lakini hana uzoefu zinamtokea puani. Ogah naye hajaonekana alifikiri EPL ni chandimu.
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Hahahaha nimecheka sana aisee...nimechelewa kuiona hii comment,hakimbii mtu haha na hao ndugu zangu wote watarudi mkuu,sema naona wameadimika kidogo,kufungwa ni lazima na sio kushinda tu kila siku so watarudi tu soon,na mimi sala zangu siwezi kushinda mpaka hapo May nikiona Arsenal hajamaliza Top 4 haha zaidi inabidi akashinde hii weekend then nitawakubali
NB hii weekend nitakuwa mgeni rasmi kwenye jukwaa lako mkuu nataka niwape support kwa mara ya kwanza muwatandike hawa City kama Chelsea wameweza why nyinyi mshindwe bana??sisi tungeweza sema tulikuwa out of form ile day so tutakuwa sote mkuu....
hahahahaha..........wewe Wacha1....umenikumbusha mbali kweli......mbali na kuwa mzee wangu alikuwa mwanamichezo nami pia sikuwa nyuma......enzi zangu chandimu nilikipiga, mchangani makurumla na magomeni kondoa niliuputa........Sinza/Tandale Abajalo mpaka uwanja wa magunia msasani, uwanja wa farasi Oysterbay, kawe (Tanganyika Packers), Tandika (Uwanja wa Chuo cha Bandari, mabatini hadi Azimio)......gozi nililisakata........
Basketball pale gymkhana grounds (kabla ya kuleta LIHOTELI LENU LA KIFISADI...i.e. Sheraton), Mitaa ya Zanaki mpaka Chang'ombe nilicheza........table tennis......
Mashetani mwaka huuni wachovu sana si utani.......hawakabi, hawajitumi.....nikikumbuka enzi zile za akina Scholes, Butt, Neville, Kean, Beckham, Cole.....kuna tofauti kubwa sana na hasa kwenye ukabaji.......
However, tofauti na timu zingine.......ManU huwa inapaniwa sana sana na wachezaji wa kawaida sana......siku timu yeyote inapocheza na ManU utaona kuna watu wanataka kuuza majina yao kwenye soko..........lakini hao hao huwezi kuwaona au hawawezi kuonekana akifanya same juhudi akicheza na Chelsea, Arsenal au Man C etc.............na huu ndio ukweli wenyewe.......na hili jambo linanifanya ni wa-support ManU
Nitashangaa sana msimu huu Man U akishinda EPL
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia comment zako ila nimeshindwa kujua wewe ni mshabiki wa timu gani kozi Man Utd ikishinda unaonekana kama ni Man Utd fan lakini ikifungwa comment zako zinakuwa kama ni za mashabiki mseto ( Arsenal, Chelsea, Man city and Co.). Please naomba uweke hadharani timu unayoshabikia
Yuko MANU ingawa si rahisi kumgunduaKwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia comment zako ila nimeshindwa kujua wewe ni mshabiki wa timu gani kozi Man Utd ikishinda unaonekana kama ni Man Utd fan lakini ikifungwa comment zako zinakuwa kama ni za mashabiki mseto ( Arsenal, Chelsea, Man city and Co.). Please naomba uweke hadharani timu unayoshabikia
Tutafutie equlpsyyyyyyyyyyyy kwanza ... ... .. khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee tena huyu alibatizwa na kupewa u-mod ili kijiwe chenu kiwe live zaidi naona anahojiana na Vidic kule ICU.
Mancs wetu hao si uliona mpira wa jana ulivyokuwa butua butua, the deadly trio will deliver, worry not.
hahahahaha..........wewe Wacha1....umenikumbusha mbali kweli......mbali na kuwa mzee wangu alikuwa mwanamichezo nami pia sikuwa nyuma......enzi zangu chandimu nilikipiga, mchangani makurumla na magomeni kondoa niliuputa........Sinza/Tandale Abajalo mpaka uwanja wa magunia msasani, uwanja wa farasi Oysterbay, kawe (Tanganyika Packers), Tandika (Uwanja wa Chuo cha Bandari, mabatini hadi Azimio)......gozi nililisakata........
Basketball pale gymkhana grounds (kabla ya kuleta LIHOTELI LENU LA KIFISADI...i.e. Sheraton), Mitaa ya Zanaki mpaka Chang'ombe nilicheza........table tennis......
Mashetani mwaka huuni wachovu sana si utani.......hawakabi, hawajitumi.....nikikumbuka enzi zile za akina Scholes, Butt, Neville, Kean, Beckham, Cole.....kuna tofauti kubwa sana na hasa kwenye ukabaji.......
However, tofauti na timu zingine.......ManU huwa inapaniwa sana sana na wachezaji wa kawaida sana......siku timu yeyote inapocheza na ManU utaona kuna watu wanataka kuuza majina yao kwenye soko..........lakini hao hao huwezi kuwaona au hawawezi kuonekana akifanya same juhudi akicheza na Chelsea, Arsenal au Man C etc.............na huu ndio ukweli wenyewe.......na hili jambo linanifanya ni wa-support ManU
Nitashangaa sana msimu huu Man U akishinda EPL
Yuko MANU ingawa si rahisi kumgundua
mmeangukia pua hahahaa na bado
chama lenu linakufa tartiiiibu
Manchester United could be spectacularly reinstated into the Champions League - to face Bayern Munich, no less - if FIFA make good on a threat to ban Switzerland from world football.
The world football body has threatened to suspend Switzerland from any European football if the country's national association does not punish FC Sion by January 13.
Sion had previously launched numerous legal bids after being prevented from advancing to the Europa League group stages after fielding six players signed during a transfer embargo.
The club, whose civil courts actions failed before they were ultimately replaced in the tournament by Celtic, have yet to receive any official punishment from Swiss FA for their actions.
If the football association does not comply with FIFA's threat in the next four weeks, FC Basel will be expelled from the Champions League and replaced by Manchester United, despite beating the Red Devils 2-1 to advance to the tournament's round of 16 fixtures.
FIFA are clearly irate at the actions of Sion and have stated that the club acted in a "legally abusive manner". So while Manchester United fans should be hopeful of a return to the top flight of European football, a return to the Champions League would mean taking Basel's incredibly tough next fixture - a clash against German giants and outside favourites Bayern Munich.
FIFA wanataka kutubeba
Habari za uhakika zinasema Mfarisayo anatafakari kuingia na jina jipya baada ya mkong'oto wa CL hata Equlpsssss naye yupo njiani na jina jipya BJ yeye kaamua kususa, Manda na Belo wapo wakichungulia tu na kutafakari kama December itaisha kwa amani ili warejee January na nguvu ingine ya soda. Papizo anaongoza sala hapa jukwaani lakini hana uzoefu zinamtokea puani. Ogah naye hajaonekana alifikiri EPL ni chandimu.
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia comment zako ila nimeshindwa kujua wewe ni mshabiki wa timu gani kozi Man Utd ikishinda unaonekana kama ni Man Utd fan lakini ikifungwa comment zako zinakuwa kama ni za mashabiki mseto ( Arsenal, Chelsea, Man city and Co.). Please naomba uweke hadharani timu unayoshabikia
Samahanini sana Mashetani.........Wakuu hivi gemu la Santos na Barca ni saa ngapi?.........