Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tulichemka kwa Klop tu,ule mfumo wake Wa uchezaji na Yale makeke yake pamoja na mihela ya Man U tungeburudika sana mana sahizi hata Angel Gomes angekuwa anatufurahisha tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Juzi Angel gomez alisimama beki na Van dirk nyuma pale,,watulivu kinoma aisee..sasa huyu gomez angekuwa chini ya mourinho ungecheka hadi ufe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manyumbu vilaza sana Leo lukakundu hafai shenz na bado tot anakuja!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana,tumia lugha nzuri,wapo watu wasioipenda MUFC kama King Ngwaba lakini huwezi kuwakuta wakitumia lugha za hovyo!

Kuna tofauti kubwa sana kati ya kubishana humu jukwaani na kubisha kule vijiweni kwenu na wahuni wenzako!

Humu watu wanatofautiana kwa hoja ewe kijana mjinga!
 
Juzi Angel gomez alisimama beki na Van dirk nyuma pale,,watulivu kinoma aisee..sasa huyu gomez angekuwa chini ya mourinho ungecheka hadi ufe

Sent using Jamii Forums mobile app
Angel gomez alisimama beki? Angel gomez aliyeongelewa na jamaa hapo juu ni kinda wa man u. Yule wa liverpool unayetaka kumuongelea wewe anaitwa Joe gomez.
 
Pale MUFC Herrera ndio mchezaji pekee anayeona ni heshima kuichezea timu. Ningekuwa kocha ningempa unahodha.

Mou anamtandika bench halafu anawapa nafasi wanaojiona wakubwa kuliko timu.
Hadi leo sijui kwanini Ander anakaa benchi kwa aina ya wachezaji wanaocheza nafasi ya kiungo,Herrera ana commitment tofauti na wachezaji wengi wa United.
 
Hadi leo sijui kwanini Ander anakaa benchi kwa aina ya wachezaji wanaocheza nafasi ya kiungo,Herrera ana commitment tofauti na wachezaji wengi wa United.
Huyo ndio Mou mkuu.
 
Tatizo mashabiki tunaongea sana...hatuweki akiba ya maneno.! Nimeangalia baadhi ya comment hadi nimeshangaa jinsi watu wanavyoongea pointless baada ya timu kupoteza!

Ugiligili speaking.
 
Tatizo mashabiki tunaongea sana...hatuweki akiba ya maneno.! Nimeangalia baadhi ya comment hadi nimeshangaa jinsi watu wanavyoongea pointless baada ya timu kupoteza!

Ugiligili speaking.
Wewe kwani pointi yako hasa ni nini??...Mourihno atafanikiwa kwa mifumo yake hii akiendelea nayo??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…