Man U hongereni kwa kushinda nafasi ya pili msimu huu.
Mtaumia sana jumamosi pale Liverpool atakaposhindilia msumari wa moto kwenye mioyo yenu kwa kubeba Champions League.
Hapo ndio mtapack mabegi yenu kwa wingi wenu wa mamilioni muungane na mkuu wenu wa msafara Garry Neville kuenda katika nchi isiyojulikana kujificha humo kwa miaka kadhaa kutokana na aibu mtakayoipata
Maisha ya kiungo Marouane Fellaini ndani ya Manchester United yanaonekana kufika mwisho baada ya mchezaji huyo kuhama katika nyumba yake Cheshire, vilabu vya monaco, Marseille vinavutiwa kumsajili mchazaji huyo.(Sunday People)
Maisha ya kiungo Marouane Fellaini ndani ya Manchester United yanaonekana kufika mwisho baada ya mchezaji huyo kuhama katika nyumba yake Cheshire, vilabu vya monaco, Marseille vinavutiwa kumsajili mchazaji huyo.(Sunday People)