Naona kama mtashinda kipindi cha pili. Chelsea hawana defence nzuri. Mkisawazisha mtawaondoa. But I'm with Chelsea, naomba wasinilize .. come on Chelsea.
Duh hamumtaki mara hii ? Anapomwagaga pesa kununua wachezaji huwa mnamsifia. Lakini mlijua staili ya mpira anaofundisha attackers anawafanya defenders, midfielders wanakuwa defenders. GGMourinhoforever
Duh hamumtaki mara hii ? Anapomwagaga pesa kununua wachezaji huwa mnamsifia. Lakini mlijua staili ya mpira anaofundisha attackers anawafanya defenders, midfielders wanakuwa defenders. GGMourinhoforever
Ngongo mkuu unakosea martial na rashford ukitegemea wawe striker maumivu kocha sijaona tatizo angalia nafas zilizotengenezwa na umakin wa ufungaji sizan kama martial aliagizwa na kocha awe anapiga vile jones kumtumia kama bek ni hatar sana