bao la Sylvan Wiltord mwaka 2002 nadhani.Kumbuka aliwahi kuchukulia Ubingwa hapo hapo OT
Zile 8-2 timu ilikuwa imejaa vijana wenye uwezi na ari. Alikuwepo Anderson,Smalling,Jones,Cleverly,Welbeck,Nani,Ashley YoungNakumbuka waqt wa babu alikuwa na uwezo wa kupanga watoto katika game ya arsenal na tunapata matokeo mazuri tu hapa Rafael kule nani huku Anderson kiukweli ilikuwa burdan watu wazima ilikuwa captain wazza na young pamoja na the three lungs (ji sung park )game moja golkipa kaokoa ukamkuta park akatia ndefu kwa wazza huku ronaldo yupo katika kasi yake akatilia telling ball waya tuliwapa tatu siku hiyo
Duh! nimekumbuka zamani yule cleverly sijui niandikeje! nilikuwa namuona Scholes mbichi ndio hivyo tena.Zile 8-2 timu ilikuwa imejaa vijana wenye uwezi na ari. Alikuwepo Anderson,Smalling,Jones,Cleverly,Welbeck,Nani,Ashley Young
Hivi hii haikuwa mechi ya kwanza ya ligi kwa Rashford? Baada ya kufanya mambo Europa League?Hichi kikosi cha Van Gaal mwaka 2016 zidi ya Arsenal uwanja OLD TRAFFORD
MANCHSTER UNITED 3 ARSENAL 2
RASHFORD 2 HERRERA 1
WELLBACK 1 OZIL 1
Player ratings
Manchester United: De Gea (7), Varela (7), Carrick (6), Blind (6), Rojo (6), Schneiderlin (6), Herrera (7), Mata (7), Depay (7), Lingard (6), Rashford (8).
Subs used: Fosu-Mensah (6), Januzaj (5), Weir (5).
Arsenal: Cech (6), Bellerin (6), Gabriel (6), Koscielny (6), Monreal (6), Coquelin (5), Ramsey (5), Welbeck (7), Ozil (7), Sanchez (6), Walcott (4).
Subs used: Giroud (5), Elneny (5), Iwobi (5).
Man of the match: Marcus Rashford
Hii mechi Ashley young alifunga kwa mikwaju miwili inayofanana, Rooney alifunga free kicks mbili zinazofanana...Louis Nani akafunga goli bora kwa mechi hii,Welbeck nae alitupia goli la kwanzaDuh! nimekumbuka zamani yule cleverly sijui niandikeje! nilikuwa namuona Scholes mbichi ndio hivyo tena.
wamchukue unai emery anaitema psg mwisho wa msimuMkuu tafuteni makocha wanaoeleweka, Ancellot au yule Enrique aliyekuwa Barca, uzoefu muhimu sana. Huyo Wenger hakuwahi kuwa na CV ya maana, hata alipokuja Arsenal huko alikotoka alikuwa kaishusha timu daraja.
na pale ndio niliamini rasmi jamaa haipendi united kutoka moyoni kabisaaaaaaa maana hata mashabiki wake hawakuchukia kile kitendoHivi huyu no 8 mgongoni alikuwa anajitelezesha au ilikuwa ni serious? Manake kuna game huwa nahisi alipiga short back pass akijua drogba lazima ataunasa ile mpira na kufunga. Huwa naamini ile mechi huyo jamaa aliipanga ili man u wasichukue ubingwa
David De GeaMUFCPOTY
Denzil Haroun reserve team player of the year: DemetriMitchell
Goal of the season award: Nemanja Matic for his remarkable strike v Palace.
POTY: David De Gea
YPOTY: Tahith Chong
Players player: David De Gea
Managers POTY: Scott McTominay