Hivi huyu no 8 mgongoni alikuwa anajitelezesha au ilikuwa ni serious? Manake kuna game huwa nahisi alipiga short back pass akijua drogba lazima ataunasa ile mpira na kufunga. Huwa naamini ile mechi huyo jamaa aliipanga ili man u wasichukue ubingwa
Jamaa leo wanapumzisha wachezaji kujiaandaa na marudiano na Atletico ndio maana niliweka hii kumbukumbu.
Mourinho anataka ajisifie kafikisha pts nyingi kuliko makocha wengine kwahio muziki wake ni kama fainali.
Jamaa leo wanapumzisha wachezaji kujiaandaa na marudiano na Atletico ndio maana niliweka hii kumbukumbu.
Mourinho anataka ajisifie kafikisha pts nyingi kuliko makocha wengine kwahio muziki wake ni kama fainali.