Napitia comments za ma haters hapa sina mbavu..kuna watu hapa hata kwa majamvi yao wameshatokomea kitambooooooo, ila Manure imegongwa basi wamerud kwa morali na ma likes kibaoooo..
Lesson Learnt; Shabiki wa ukwee'' hakati tamaa na kukimbia kimbia ovyo ka nyie, na sio mnakujua tu siku za sherehe, araaaaaaaaaaaa!
Sisi ndio Manure, together we are United.
Ukiona mavi mapya yananuka,yatupe kayachukue ya zamani![h=2]Manchester United
[/h] Old Trafford
Capacity: 75957
Founded: 1878
Club Nickname: The Red Devils
Manager: Alex Ferguson
Premier League/Division One
Winners: 1908, 1911, 1952, 1956, 1957, 1965, 1967, 1993, 1994, 1996, 1997, 1999, 2000, 2001, 2003, 2007, 2008, 2009, 2011
Runners-up: 1947, 1948, 1949, 1951, 1959, 1964, 1968, 1980, 1988, 1992, 1995, 1998, 2006, 2010
Championship
winners: 1936, 1975
Runners-up: 1906, 1925, 1938
FA Cup
winners: 1909, 1948, 1963, 1977, 1983, 1985, 1990, 1994, 1996, 1999, 2004
Runners-up: 1957, 1958, 1976, 1979, 1995, 2005, 2007
League Cup
winners: 1992, 2006, 2009, 2010
Runners-up: 1983, 1991, 1994, 2003
Community Shield
winners: 1908, 1911, 1952, 1956, 1957, 1965 (shared), 1967 (shared), 1977 (shared), 1983, 1993, 1994, 1996, 1997, 2003, 2007, 2008, 2010
Runners-up: 1948, 1963, 1985, 1998, 1999, 2000, 2001, 2004, 2009
Champions League/European Cup
Winners: 1968, 1999, 2008
Runners-up: 2009, 2011
European Cup-winners'
Cup winners: 1991
European Super Cup
winners: 1991
Runners-up: 1999, 2008
World Club Cup winners: 2008
Intercontinental Cup winners: 1999
European Cup-winners Cup winners: 1968
WE ARE UNITED...........THE RED SIDE OF THE CITY
Yaan leo KWA BAHATI mbaya: Mansix akagongwa The Toffees, Yanga akapakatwa na Simba na Bluz akapoteza mechi kwa Asenali basi natafuta ban ya lazima JF...natukana Kijana yangu Wacha Boy matusi ya mwilini na musuruali ili Ab Tchaz akigonge ban walau ya kawiki...utakua ujinga sasa huu, watu tunaacha kaz zetu afu mijitu inafungwafungwa...shenz.
Napitia comments za ma haters hapa sina mbavu..kuna watu hapa hata kwa majamvi yao wameshatokomea kitambooooooo, ila Manure imegongwa basi wamerud kwa morali na ma likes kibaoooo..
Lesson Learnt; Shabiki wa ukwee'' hakati tamaa na kukimbia kimbia ovyo ka nyie, na sio mnakujua tu siku za sherehe, araaaaaaaaaaaa!
Sisi ndio Manure, together we are United.
Mkuu unadhani wote wanajuwa mpira hao,bali wanafata bendera tu, kwanza United akishinda hutowaona hapa hata kidogo zaidi wakifungwa utawaona wamejaa humu kibao...so ni kuwapotezea tu.....
Yaani hawa Man6 wana bahati kweli.... BAINES kagonga mwamba... Dalili ya Mvua hii..... Soon nanyi itawanyeshea....
Leo SAF kaanzisha fowad tatu?duh, usongo au nn?...hilo faulo la Baines balaa aiseee.
kweli manure noma mmeloga hadi linesman..