Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna watu wanapendaga sana kushinda kwenye hili jukwaa leo hawaonekani hapa

GGMU
 
Najuwa Mourinho anakera na tabia zake za kihuni, ila yuko very tactical aise, hapo namvulia kofia, na ndio maana kazi kwake sio shida kabisa, ni jambazi zuri kwenda nalo kwenye vita, lina game plan za kufa mtu..
 
Tungekuwa makini ni wakati sasa wa Sanchez out Fellaini/Carrick in...sanchez amekuwa kama Salah tu, game imemkataa kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…