Sasa mkuu mbona kama unataka kuitenga hiyo substitute ya mata na rash na performance ya timu? Ndio nakuuliza hao wachezají na huyo aliyewaingiza hawahusiki na MUFC au?
😀😀😀😀😀 teh teh teh teh teh teh!
Kama Sikosei Kwa Mujibu Wa Saa Za Afrika Mashariki Huu Mpira Utamalizika Kesho! Hivi Nitazame Mpira Ndani Ya Siku Mbili Halafu Nisifurahi?? Haiwezekani!!!
Sasa mkuu mbona kama unataka kuitenga hiyo substitute ya mata na rash na performance ya timu? Ndio nakuuliza hao wachezají na huyo aliyewaingiza hawahusiki na MUFC au?