Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naona mnaikumbuka misosi mliyowahi kusaza
 
Je, Munai-Acknowledge Man City Kuwa Ndiyo role model wenu? Naona mifano mumeifanya Mengi ya KuAccept Kuwa Man City amekuwa ni Upper Hand Katika City of Manchester.

Ni
Jambo la Busara Kuwa Man City Ajifunze Kutoka Kwenu, Sio Nyinyi Kujifunza Kutoka Kwake
 
Mimi nakushangaa unapoukataa ukweli na kuupaka vanila uongo.
Umekutana na jibu usilolitana ulivyopost tegemea mtizamo tofauti kule kwenu tulikwambia rose bakley hana sifa za kuchezea chelsea ulikataa ukasema atafuata nyayo za lampard ntakufukilia kabur kule au mkiwa kwenu mnakuwa malaika? Lakina conte anaona chenga tu
 
Hapana mkuu kwa sasa city wanafanya vizur sana
 
Manchester united wachezaji tunao kabisa wakuweza kuipeleka timu tunapotaka mashabikiweng.
Ila hatuna kabisa kicha wa kutufanya tufike hapo tunapopataka labda tukibadili ila kw huyu wa sasa sina iman naye.

huwa anacreat bifu binafsi na wachezaji.. ni kwel kabisa herrela siyo wa kuwekwa benchi hilo bifu Lake binafsi kocha wetu, niliwah kusoma source moja kwamba tatizo la herrela na mour lilikuja kipind herrela alipomkaribisha rafk yake anaechezea Celta vigo kwenye uwanja wa mazoez wa Manchester kipind wanajiandaa kucheza na celta vigo, hapo ndo tatzo lilipoanzia

wakat mwngne huwa nadhan labda mour kazeeka iv anashindwa kabsa kuona POGBA SIYO DEFENSIVE MIDFIELDER, anamfanya pogba aonekane average player kabisa, kwanini matic na herrela wasianze harafu pogba awe juu yao kama free player, ila mour haon hilo.

kitu Kingine huwa namshangaa kumuamini smalling wakat kwenye benchi una beki bora dunian Marcos rojo mzima kabisa,dah huyu kocha bhana.

harafu mpira wa kudefend ushapitwa na wakati tena huwa naboreka sana tukikutana na timu ambazo zipo kwenye top 6 lazima mour adefend tu yan anakaribisha mashambulizi kabisa,

kuna mdau alishawah Kusema kwa tatctic za mour hatuwez kufika popote labda abadilike, ni kwel kabisa
 
hawa watu tunawahitaji sana katika wakati huu mgumu ROJO&BAILY
 

Attachments

  • 27751818_2045752528798073_6231413844481275858_n.jpg
    20.3 KB · Views: 49
  • 27750242_2046625325377460_7190546133721690822_n.jpg
    20.2 KB · Views: 52
It always take time to be like someone or more than someone. Just give him a time you know its a process.

Only time is the best answer. So man relax!!
 
maureen-whore is the best coach in the world
 
Umeandika vizuri sana Mkuu , nilikuwa miongoni Mwa wadau walioliona hili tatizo la Mourinho ila mwenzetu Radika aliongoza majeshi ya kutuponda.


Ni ukweli ulio wazi Mourinho mbinu zake ni "outdated" hawezi kuivusha team mbele zaidi ya hapo.
 
Juan Mata: "I see children now and many things surprise me: they ask me about my boots and why I don't die my hair. I wonder "Why don't you talk to me about how to cross the ball, control it, the position of the body when I strike the ball?" [HASHTAG]#mufc[/HASHTAG]

Juan Mata: "Previously, kids wanted a ball; nowadays they want boots and jerseys, they don't have a ball and they cannot play too much. Yet they don't mind because they can show off their boots and shirt and that's enough." [HASHTAG]#mufc[/HASHTAG]

Juan Mata: "Football is losing it's essence, people talk about celebrations instead of goals. I'm not criticising people talking about boots or haircuts but I would ask that people talk more about the other stuff, about the game itself." [HASHTAG]#mufc[/HASHTAG]
 
Ukweli mchungu huu.....
 
Umeandika vizuri sana Mkuu , nilikuwa miongoni Mwa wadau walioliona hili tatizo la Mourinho ila mwenzetu Radika aliongoza majeshi ya kutuponda.


Ni ukweli ulio wazi Mourinho mbinu zake ni "outdated" hawezi kuivusha team mbele zaidi ya hapo.
Kama Pogba angelikuwa anacheza chini ya Pep nadhani angelikuwa na assists sio chini ya 20+.

Mpira wa sasa ni mpira wa kasi yeye anawaza kuzuia tu
 
Kama Pogba angelikuwa anacheza chini ya Pep nadhani angelikuwa na assists sio chini ya 20+.

Mpira wa sasa ni mpira wa kasi yeye anawaza kuzuia tu
Mfumo wa Pep unawataka viungo wa mbele/washambuliaji ndio wanapaswa kukaba kuliko hata mabeki huwezi kumkuta KDB anarelax na mpira kama anavyofanya Pogba
Pogba angekuwa na assist nyingi sababu Man City wana finisher wazuri kuliko United
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…