Mkuu timu hii imekosa mtu mmoja muhimu sana, Mchezeshaji. Wakati ule tulikuwa na Rooney sasa hatuna angalao tunae Mata, angekuwepo ungeona tofauti kubwa. Huwa namfananisha sana na David Silva wa Man City.
Mkuu timu hii imekosa mtu mmoja muhimu sana, Mchezeshaji. Wakati ule tulikuwa na Rooney sasa hatuna angalao tunae Mata, angekuwepo ungeona tofauti kubwa. Huwa namfananisha sana na David Silva wa Man City.
Huwezi kushambulia tu kama headless chicken, hicho unachokitaka dakika 60 ikiwa bado bila bila utakiona,though nakubali timu haijatoa perfomance ya maana.