Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
1- Sanchez anaenda Manchester United
2- Aubameyang anaenda Arsenal
3- Mkhitaryan anaenda Borussia Dortmund
swali je ni team gani itakuwa imefaidika?
Confirmed?
↑↑
Bado ni TETESI tu haijathibitika ila ipo possibility Kubwa tu Kwa SanchezSanchez kuja Man U.
Na ili kumu ignore vizuri unamweka kwenye ignore list. Hautakaa uone comments zake.Kuendelea kubishana na zazwa kama huyu ni kupoteza muda dawa yake huyu ni kumuignore
Nikuletee listi ya top ten richest clubs we zwazwa...Masikini hawezi daiwa, hakopesheki, atadaiwa vipi? Kukopesheka ni sifa na uwezo wa kulipa, anao tajiri. Sifa ya kukopesheka masikini hana. Kama Arsenal
Asingekimbia....si ndiye aliyepigwA sita na guardiola..???Mou kakaa Spain misimu mitatu,msimu wa kwanza alichukua FCB, msimu wa pili mou,na msimu wa tatu atletico
Unaijua thamani ya Emirates na thamani ya OT ww???Hajui kitu uyo,OT ngome ilijengwa kabla ya Vita ya Dunia,ikapigwa mabomu ,ikajengwa Tena baada ya Vita...
Emirates ndo ilijengwa kwa udhamini wa Emirates..
Aache kufananisha Ngome Old Trafford na vitu vya kijinga
Daah!!! SawA bhana....mkuu [HASHTAG]#ROBERTO[/HASHTAG] 20 mimi ni fan wako,napenda sana comments zako....huwa nikijisikia kuangalia cartoon ktk tv kwa vile umri umeenda sana naona aibu kuangalia katuni badala yake nafungua huu uzi wetu wa Man Utd nazitafuta nakusoma comments zako!!!
Acha wivu ww...kisa umeiona arsenal hapo...↑↑
Bado ni TETESI tu haijathibitika ila ipo possibility Kubwa tu Kwa SanchezSanchez kuja Man U.
Mkuu acha kupoteza muda wako kumuelewesha asiyetaka kuelewa.Mmm nna wasiwasi na uelewa wako wa ushabik wa mpira hivi ni kosa kufananisha wachezaj?
Tangu lini chicharito akafaanishwa na henry au unatunga habar kwa kuwa muda wote unapanic?
Chicharito alikuwa anafananishwa na Ole Gunnar Solskjær
basi kwa kuwa alikuwa anatokea banch analeta tofaut wala hakunaga cha hizo tuzo
Duu😀mkuu [HASHTAG]#ROBERTO[/HASHTAG] 20 mimi ni fan wako,napenda sana comments zako....huwa nikijisikia kuangalia cartoon ktk tv kwa vile umri umeenda sana naona aibu kuangalia katuni badala yake nafungua huu uzi wetu wa Man Utd nazitafuta nakusoma comments zako!!!
Usinisumbue Google apo viwanja vikubwa na expensive Europe ukiikuta hiyo Emirates yako ipo juu ya OT najitoa JF.Unaijua thamani ya Emirates na thamani ya OT ww???
Duu!! sikutarajia jibu la kipuuzi kama hili.Hujielewi...
Mkuu nimeweka listi hapo juu..naomba ujitoe mapema2..Usinisumbue Google apo viwanja vikubwa na expensive Europe ukiikuta hiyo Emirates yako ipo juu ya OT najitoa JF.
Anyway ungepita kushoto tu hili jukwaa halikuhusu,hamna jukwaa la timu yako?au halinogi?
Kwanin wako silence? Au wana njaa??Arsenal ina fans wengi kuliko manure.. Sema wapo silent kwa sasa....
Ipo siku utawaona wote....