Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hao wachezaji uliowataja wamecheza mechi ngapi msimu huu???


Kubalini tu mourinho mbinu zake zimeisha
 
Mtoe Ashley young na Rashford kwenye hiyo list
Hukunishauri ninavowaweka huna mamlaka ya kuniambia niwatoe.
Alinyimwa hela ya kusajiri?? Alikatazwa kusajiri?? Muda mwingine muwe mnatumia akili
Kama una uwezo wa kuingia jf nina imani una akili ya kukutosha kabisa hata kuingia mitandao mingine usiishie kusikiliza story za whatsaap!

Unajua mourinho alikua anahitaji wachezaji wangapi na amewapata wangapi? Unajua chaguo lake la kwanza walikua ni wachezaji gani? Hivi unajua katika wachezaji aliokua anawataka ni Pogba peke yake ndie alikua chaguo la kwanza?
 
huyu sikuwahi kumpenda toka yupo timu yetu na ndie alinifanya nimpende messi baada ya kuhamia real madrid
 
Great for Guardiola and Kane, not so much for Mourinho and Wenger...

Some enjoyed Boxing Day 2017 more than others, it's safe to say
 
Manchester United XI (4-2-3-1): De Gea; Shaw, Jones, Lindelof, Young; Matic, Pogba; Lingard, Mkhitaryan, Mata; Lukaku

Manchester United substitutes: Rojo, Martial, Blind, Rashford, Romero, Herrera, Tuanzebe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…