Pia mashabiki wenzangu nawapa angalizo kila pogba akipewaa u captain lazima kuna tatizo tunachezea au kaumia yeye leo nlipomuona kapewa kitambaa nkajia togwa lishaingia inzi
Pale kuna smalling,de gea,jones na hata young kidogo heshima iwepo sawa pogba kakulia pale aliondoka kwa muda ila si mwenyeji kama hao hapo juu wachezaj wanastahili heshima pia.