Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hawa watu tunatakiwa tuwakate ili tupunguze gepu....bila hivyo mlima utaongezeka urefu.
 
Ngoja nijimwagie maji kidogo then nijisogeze kibanda umiza kusuport chama langu.
GGMU
 
Leo nina goma jipyaaaa la kupoza machungu, incase mambo yakienda alijojo
Hhaha mkuu leo mkosi tu asubuhi na mapema kimenuka kwa mchepuko..kuna bwege ananidai pesa kitambo najua kasahau leo kanikazia..nimetandika mkeka mchana arsenal kachana. Sasa na man u akipigwa ndiyo nitajua kwa nini alikiba aliimba "maumivu per day"
 
Ukiona Mo Anaongea Kwa Kutojisia Na Kuweka Umakin Katika Team Bass Jua Hapo Kuna Ushindi Mnono

Mara Nyingi Mo Akizungumzia Mechi Kwa Dharau Huwa Anafungwa Au Ku Draw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…