Man united wana forward butu sana.........Man City forward yao ni kali sana..........leo hata man u wakipaki basi haisaidii lazima wafungwe tu.......sion wakuwazuia kum aguero,rahim sterling wasifunge
Nawatakia mchezo mwema ndugu zangu!
Man City wameisha choka(rejea mechi 3 za mwisho)ni muda muafaka sasa kuwaweka kibra!
Mungu awabariki sana Man U leo
Mshinde!
Nani bado hapa hayaogopi Majogoo
Man united wana forward butu sana.........Man City forward yao ni kali sana..........leo hata man u wakipaki basi haisaidii lazima wafungwe tu.......sion wakuwazuia kum aguero,rahim sterling wasifunge
Man city hawana lolote hao mechi yao dhidi ya west ham waliponea chupuchupu west ham kama wangekomaa kama jinsi walivyo komaa kwa Chelsea city wangepoteza
Man united wana forward butu sana.........Man City forward yao ni kali sana..........leo hata man u wakipaki basi haisaidii lazima wafungwe tu.......sion wakuwazuia kum aguero,rahim sterling wasifunge