hata dawasco wakitaka kukata maji hawatembelei nyumba hadi nyumba na kufunga mabomba, just wanafunga bomba kuu na nyumba zinakosa maji.
hapo silva na de bruyne ndio wapishi wakubwa, ukikamata hao waliobakia watapata tabu kucheza sababu wao wanataka wapikiwe then wafunge.