Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hakuna anachojua zaidi ya kupaki basi na kusubiri counter attack
 
Mourinho ni Mteja wa guadiora huwa anapigwa hadi sana fuatilia head to head wakikutana huwa nini kinatokea?
 
Kwa Arsenal tu hawa vibonde alipark semitrailer. Kwa City atatupia meli tatu kabisa. Dawa ni kumatch style ya City kwani hata Mourinho ana wachezaji wenye uwezo huo. Tatizo lake hana guts hizo.
 
Kwa Arsenal tu hawa vibonde alipark semitrailer. Kwa City atatupia meli tatu kabisa. Dawa ni kumatch style ya City kwani hata Mourinho ana wachezaji wenye uwezo huo. Tatizo lake hana guts hizo.
hahaaha tena meli itakayo kuwa jirani na kipa inaitwa
sea monster.
cha msingi apaki na man u ishinde hayo mengine mtajua ninyi
 
Mourihno bila shaka itakuwa ndiyo akili yake. Pep awe na plan B
 
Uko sahihi sana joh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…