Wadau muangalieni vizuri Mata leo ndio mtajua kwanini Mou alimtimua Chelsea na hapa atamkrupusha tu maana kaishapata mbadala wake.
Kwa timu makini tungekua tumeishapigwa 2 na zote chanzo ni Mata.
Hayo mambo ya free player anayotaka aende barca akaungane na mbwambwa mwenzie mesi