Chelsea walichezesha viungo 3(Kante,Cesc,Bakayoko) kwa mara ya kwanza na kuuwa winga ndio maana Pedro/Willian hawakuanza while United walichezesha 2 (Matic,Herrera) so automatically iliwapa advantage.Bakayoko ameonekana anapanda sababu Kante alifanya kazi kubwa otherwise ni mchezaji wa kawaida na jana sikuona special alichofanya zaidi ya kukosa magoli ya wazi sidhani kama kuna mechi nyingine ambayo amewahi kuonekana anapanda.Mpira wa jana ulikua umetawaliwa na mbinu na kujituma kwa wachezaji.
Chelsea walijituma sn kuliko Utd ndio maana unaweza kuona waliwazidi kila kitu.
Na kila mlipofanya sub ya kuongeza mashambulizi Conte alifanya sub ya kuongeza ulinzi Rejea kuingia kwa Rudiger na Drinkwater kisha Willian. Hii iliwafanya Utd pamoja na mabadiliko walofanya hayakuwasaidia kitu zaidi ya kuwin two chances moja ya Fella iliyokua saved na Courtois na ingine ya Rashford iliyopita chini ya nguzo ikatoka nje huku Chelsea wakikosa counter moja hatari sn Kwa Morota kukosa goli la wazi.
Matic na Herrera ni viungo wa kawaida sn sema jana walizidiwa na hawawezi kuhimili viungo wa Chelsea wakiwa on form. Bakayoko uwanja mzima ulikua wake Faby alkadhalika huku Kante akimpoteza kabisa Mkhitaryan na pongezi nyingi sn ziwaendee wingsback wa Chelsea kila Mara walikua ndani ya box la Utd wakitaka kuleta mazara huku Young na Valencia wakishindwa kupeleka mipira na kusababisha Jones na Herrera na Bailey na Magic kulambwa kadi za njano kwa kumchezea rafu Hazard.
Mpk Jana Conte amedhihirisha kua yeye ni fundi kuliko Mourinho
Tatizo lako unajikanyaga kanyaga tu naona sasa umeenda kwa akina Messi na Ronaldo kwani nani alisema Hazard yupo level hizo?
Kwahiyo mchezaji asipofikia level za Messi na Ronaldo sio mchezaji mkubwa?
mbona unazidi kudhihirisha jinsi gani we ni mwehu?
ulianza kusema Hazard yupo level sawa na Martial na Rashford nilivyokubana ukahamia Hazard kazidiwa na KDB na Silva nikakupa mafanikio ya Hazard kwa timu yake na binafsi akiwa EPL nikakwambia nipe hayo mafanikio ya hao unaosema wamemzidi ndani ya EPL katika nafasi yake unaanza kumtaja neymar hizo kama sio bangi za chooni ni nini?
Jana tena Conte kadhihirisha ufundi wake Dhidi ya Mou kataa ukubuli huo ndio ukweliChelsea walichezesha viungo 3(Kante,Cesc,Bakayoko) kwa mara ya kwanza na kuuwa winga ndio maana Pedro/Willian hawakuanza while United walichezesha 2 (Matic,Herrera) so automatically iliwapa advantage.Bakayoko ameonekana anapanda sababu Kante alifanya kazi kubwa otherwise ni mchezaji wa kawaida na jana sikuona special alichofanya zaidi ya kukosa magoli ya wazi sidhani kama kuna mechi nyingine ambayo amewahi kuonekana anapanda.
Conte alikuwa fundi against Mourinho last season aliposhinda 4-0 but sio jana
Leo mtamsema pogba kwa sababu yupo injured. Time will tellTimu imefungwa nyumbani na Crystal Palace tunaenda kucheza nayo mpira wa hofu si maajabu haya
Tuna kocha mwepesi sana, kama ukitaka kujua angalia hata michezo tuliyoshinda tumeshinda vipi..
Ngoja tumsubiri Pogba labda ndio tatizo!
Umetisha mkuuHabari zenu bana...
Mtagawana, watumia vilevi na wasiotumia.
Muwe na Jumatatu njema na adabu irudi!
Mpira ni ushidi bwana hayo mengine ya kujaza viungo ni mbinu kwann morhinho hakujaza viungo na akuna kitu kibaya kama kupigwa bao moja.......!!!!Chelsea walichezesha viungo 3(Kante,Cesc,Bakayoko) kwa mara ya kwanza na kuuwa winga ndio maana Pedro/Willian hawakuanza while United walichezesha 2 (Matic,Herrera) so automatically iliwapa advantage.Bakayoko ameonekana anapanda sababu Kante alifanya kazi kubwa otherwise ni mchezaji wa kawaida na jana sikuona special alichofanya zaidi ya kukosa magoli ya wazi sidhani kama kuna mechi nyingine ambayo amewahi kuonekana anapanda.
Conte alikuwa fundi against Mourinho last season aliposhinda 4-0 but sio jana