Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Kweli mkuu hawa jamaa wa ajabu wasahaulifu sana nikuwasamehe tu
 
Mimi Timu Ninayoiyogopa Zaidi Ndani ya EPL ni Man U... Kinyume Chake Man U Ndani ya EPL timu wanayoiyogopa Zaidi ni Liverpool..

Lakini wewe Ulioanza Kuangalia Mpira 2013 unachokijua Ni Kwamba Man U wanaiogopa Chelsea, Man City na Spurs..
Hahaha ushindi wa jana umekupa kiburi sana. Hongera! Iyo man u unayoiyogopa kwetu ni timu ndogo mnoo.
 
Haha acha kajikuta unajua sana mpira wewe ..una uhakika gani kama fans wa Chelsea walitokea arsenal? Wee vip? Wewe kwenye mpira unachokijua ni historia tu. Huna tofauti na akina shafi dauda. .Chelsea nmekuja nayo kabla hata ya mourinho. .usitake tupelekane kwenye historia mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…