Manchester United (Red Devils) | Special Thread

afadhali babu fergie hakumnunua
 
City alitoa draw na Everton ya 1-1 tena etihadi. Lakini Man U kampa Everton 4.
Mpira hautabiriki kabisa.
Yaah watu husahau hilo pana mtu aliandika kwa kubeza hapa kuwa hatujacheza na timu kubwa kama Chelsea arsenal na liverpool tukamjibu kuwa basi na burnley na stoke city nazo ni timu kubwa sababu zimewafunga Chelsea na Arsenal hakujibu. Mpaka game iishe ndio unajua matokeo uliyo pata.
 
Manchester United's next 4 Premier League fixtures:
️ Liverpool FC
️ Huddersfield Town
Tottenham Hotspur
️ Chelsea Football Club

Manchester City's next 4 Premier League fixtures:
Stoke City Football Club
Burnley Football Club
️ West Bromwich Albion
Arsenal

Tukomae sana hapa.
 

Hapa ndo kunahitaji umakini wa hali ya juu..

Tukiteleza hapa, Man City atatuzidi point nyingi.
 
Na hapa ni test mojawapo maana hata hiyo ya Spurs home nayo ngumu
 
Izo game tunazoona ni rahisi kwa man city sio rahisi...huenda akajimix kwa kuwa underestimate hao.
 
Mkuu wewe unaangaliaga mpira kinyume nin ..Stoke city alimfunga Chelsea ngap..???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…