Wakuu habarini za mchana..nimepata braking news kwamba LUKAKU "ameumia kidogo" wkt wa training kabla ya game so kuna-dought km atacheza lkn inategemea na majibu vipimo atakavyofanyiwa kama vitamruhusu kucheza ama la.
If that so..4G Itapungua aisee..naomba jamaa awepo ili azidi kukimbiza magoli epl..
Ggmu!! GGMU!!
Wakuu habarini za mchana..nimepata braking news kwamba LUKAKU "ameumia kidogo" wkt wa training kabla ya game so kuna-dought km atacheza lkn inategemea na majibu vipimo atakavyofanyiwa kama vitamruhusu kucheza ama la.
If that so..4G Itapungua aisee..naomba jamaa awepo ili azidi kukimbiza magoli epl..
Ggmu!! GGMU!!