Guys ndo tatizo la kuvaa viatu vikubwa van desar alikuwa tegemeo letu na alifungwa magoli ya kizembe zaidi ya haya mnakumbuka gemu na west brom la home 2liotoka 2-2'magol yote alitoa van desar kuna moja alidaka halafu akatema tena mpira'huyu dogo ni mzuri tumpe muda'tatzo anatembelea shadow ya vandesar'