Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu kuna rashford na martial hawa wanatosha sna pia tuna madogo kwenye academy kama angel gomes anahitaj kupanda bado perreira kifupi wapo wengi kaliba yake.
Bado tunamuhitaji sana perisic, hata kama sio perisic basi tupate natural winger, mechi ya jana imedhibitisha kwa maboko waliyokua wanatoa Valencia na blind.

Rashford na martial sio natural winger, hawana uwezo wa kupiga cross, perisic bado tunamuhitaji sana
 

Mkuu hilo la perisic halina ubishi
nakubaliana na ww na mourinho atakuwa mjanja akimpata huyo ila sio kwa dembele hapo ndipo nnapoona sio mana tuna madago
 
Umeongea point ya msingi sana mkuu,, huyo perisic kwanza umri unaelekea jioni, binafsi sioni kama kuna haja ya kusajili kwa sasa!!
 
natural wingers wapi bhana,kwanza timu nyingi sasa hivi haziwatumii ..fullbacks ndo wanafanya hizo kazi kwenye mpira wa saivi..shaw akirudi najua atafanya mambo mengi sana... blind na valencia ni kweli wanapata chansi za kupiga krosi ila wanapiga mbaya...na sio kila timu utaifunga kwa kuwa na mawinga ambao ni natural...as long as timu inatengeneza nafasi nyingi basi amna tatizo kabisa..




pia napenda kuwapa pole mashabiki wenzangu kuhusu tukio la jana la kutokufunga magoli mengi,napenda kusisitiza kuwa halitajirudia tena hivi punde...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…