Usaili wa Ibra kumnufaisha Lukaku na Manutd kwenye maeneo yafutayo:-
1) Lukaku hataweza kucheza mechi zote hivyo ujio wa Ibra utampa pia nafasi ya kupumzika
2) Lukaku mzuri kwa kutumia nguvu "brute force" lakini kimaarifa "finesse" ana mengi ya kujifunza kutoka kwa Ibra
3) Ibra wakicheza pamoja na Lukaku Mata au Rashford kuathirika kidogo lakini kwa huu utaratibu wa rotation au kupokezana pia nao watanufaika wakipata mapumziko na kukwepa uchovu au "burnout" ambayo huchangia sana kushuka viwango vya wachezaji hasa vijana kama Rashford
4) Ibra ni mchezaji mwenye kutia ari timu na uzoefu wake wa kimataifa ni bonus haswa kwenye locker room