Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hilo mimi pia nimeliona amekuwa mtulivu anaweka kila jambo mahala pake kipindi cha nyuma Jones alikuwa anatia shaka dizaini kama wes brown unajua kama sio kulambwa kadi basi atatoa boko na ukitizama tambo (umbo )analo zuri tu.
 
The magician

Sent from myself
nilishatoa taarifa mapema kwa majirani wa manchester united kuhusu huyu mchawi kutoka Armenia.
  1. Ngolo kante arudishe tunzo ya mchezaji bora mapema sana wala asione aibu ampe japo matic ili apate kumfikishia mkhitaryan kwenye viwanja vya AON complex.
  2. majirani wenye kelele wafanye mkutano wa dharura wakubaliane kwa pamoja wamkate mguu.
 
Wakuu Tumheshimu Sana Rashford Huyu Dogo Ni Hatar Kumbukeni Anatokea Pembeni Huyu Ni Natural Striker Saiv Anaendelea Kuwekwa Sawa Nakumbuka Mech Za Europa Huyu Dogo Katuvusha Kwenye Mech Nyingi Tu Tuwe Na Subira Nakumbuka Hata Ronaldo Alikuwa Hiv Hiv Ila Simaanish Dogo Atakuwa Kama Ronaldo.
 
Asante Sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unamfunga west ham alafu unajitabiria ubingwa

Mfunge kwanza Tottenham
. ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…