swansea ni timu dhaifu sana hata mbao fc wangewafunga......man u ana bahati ya kucheza na timu mbovu
RRONDO acha watu wajifidie,msimu ulioisha tulinyanyasika sana. It's our time to shine. GGMUAisee.....ndio maana huku mtaani wanasema Man Utd tuna kelele!
Mkuu mbona sikuelewi!! Umesahau kwamba huu ni mzunguko na kila timu Itakutana mara mbili( home and away) ss unavyosema tunabahat ya kukutana na timu mbovu UNAMAANA GANI!?swansea ni timu dhaifu sana hata mbao fc wangewafunga......man u ana bahati ya kucheza na timu mbovu
Kabisa mkuu wakiia sisi tutawapokea kwa mikona miwiliPana watu ving'ang'anizi (George masatu )kweli lazima watimbe nasi tutawakirimu.
Mchezaji ghali zaidi (Neymar) ni mweusi, na aliyekuwa akishikilia record kabla ya Neymar naye ni mweusi (Pogba)Naangalia Barca wanavyo hangaika kumpata Dembele (mtu mweusi)
Namuona kijana Mbappe anavyogombaniwa na vilabu vikubwa naye pia ni mweusi
Namuona Mane ambaye ni mweusi anayetokea kwetu afrika kabisa anavyoisaidia timu ya liverpool
Nawaona Arsenal wamempata Lacazzete ambaye pia ni Mweusi
Chelsea wakimuongeza Bakayoko vile vile naye ni mweusi
Hawa ni baadhi tu lakini cha kushangaza bado kuna mtu anadharau watu weusi tena katika mchezo wa soka au tatizo ni kwamba weusi hao aliwazungumzia yeye wanacheza man united. Ni makosa makubwa sana kuingiza rangi ya ngozi kwenye soka tena kauli hiyo ikitokea kwa mtu ambaye labda anaishi afrika na pia ni mweusi
Sema kuna watu wanamsema Rashford, mimi sio mmoja wao. Siwezi kumsifia/kumlaumu mtu au timu kwa mechi mbili.Kuna watu naona mnamsema vibaya Rashford, kuna kitu hamjataka kujipa mda na kukiangalia! Rashford yupo kwenye tight training chini ya Mourinho, anajengwa na kutengenezwa vizuri. Msilaumu eti anakuwa mchoyo no! Kuna kipindi tulisema rashford ni mchezaje anaefanya mazoezi ya kufunga nusu saa baada ya mazoezi na wenzake kumalizika, na ukiangalia anaonesha positive improvement akiendelea hivi na akajiamini soon atakuja kuwashangaza wengi sana. Rashford anapiga shoot za adabu hata kama hafungi, Mourinho sio mjinga akawa anamuanzisha pale anajua atakuja kuwa msaada sana baadae! Leo tushinde lakini pia tuwaandae vijana ili kesho pia tushinde. Halafu mourinho akimpiga bench najua mtaanza kulalamika humu oooh haamini vijana tutaanza kumsema kama kwa Fella ila saivi kila mtu kajificha! Tumuamini mwalimu wetu, tunae mwalimu bora sana kama kile kikosi cha msimu ulopita angepewa hata Zidane nawahakikishia tungeshuka nacho daraja!
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran nyingi kwako kwa kutupongeza karibu sana nyumbani kwetu.
Wasumbufu sana hao ila msimu huu tunawakalisha mechi zote mbili.Tunakutana na Stoke City September 9th.
Aendelee kuuchapa usingizi ili akamilishe ndoto yakeMkuu unaota ama? Maana hii mida na hio comment yako unaweza ukawa upousingizini pole sana endelea kulala muda bdo
Ndio raha ya ushindi maneno yanapangika tu kwa urahisi kama ingekuwa ile tia maji tia maji yetu wadhani hayo maneno yangekuwa yamepeperuka tu hewani kwanza mnakuwa watu wa kisirani tu. Kama upo home mwanao anakueleza matatizo ya shule unamwambia "kamwambie mourinho huko.De gea is saving
Bailly is defending
Matic is tackling
Pogba is bossing
Martial is dribling
Micky is passing
Lukaku is scoring
old traford is roaring
Red devils are flying
Gardiola is tentioning
Conte is going
Pochetinho is fearing
Manchester is gloring
I love [HASHTAG]#manunited[/HASHTAG]
GGMU
Sent using Jamii Forums mobile app