Wamecheza vizuri sana kipind cha pili baada ya swansea kuchange mfumo , maana mfumo wa mabeki watano pale nyuma ulikuwa mwiba kwa manchester , kilichowacost nikuchange mfumo
. Kocha wa Swansea atakuwa anajilaumu sana huko aliko
Anyway Glory glory to MUFC. Mwanzo mzuri tena unaoburudisha haswaaa.