Wazo lako halina maanaMashabiki wa Man U JF tutengeneze group letu la whatsapp.
Wazo tu nimetoa.
Mana wengine huku ni wale wapinzani wetu tu.
Wanachangia kinafiki tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na mashabiki njaaSometimes ukiwa na mbio mpongeze na anaekukimbiza. Swansea wamejipanga,walijua wanakutana na nini. Na njia mojawapo ya kuwafunga ni mipira ya adhabu. Kipindi cha pili kitakuwa kizuri.
Dahh wakuu
mi sielew kwa nn leo tupo slow hivi
1. mwangalie Rashford aisee
2. Pogba
3. Blind
4. Mik
5. Mata
dahhh kiukweli leo ni kama vile wamekula mbaazi na ugali wa uwele...hapa kibanda umiza nlipo watu presha juu juu aisee....Mou do something for sure
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ndio pazuri mnachat bila kufahamianaWazo lako halina maana
Sent From My Nokia Ya Tochi
Mou naona ameanza ule mpango wake alioutumia mechi iliyopita, Man U wamepaki basi katikati ya uwanja pale kwenye circle ya center ndio Jones kasimama, naona zile nne zinanukia tena.Swansea wamepaki bus, ndio maana mipira mingi tunapitisha juu. Hauwezi kucheza mpira wa speed wakati unaecheza nae kabaki nyuma.