Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu mimi naona jana ndio ilikuwa kipimo kizuri cha kujipima na Madrid kama mna timu nzuri lakini kusema msubiri mpaka mcheze na West Ham jumapili hapo sidhani kama ni kipimo kizuri kwenu ingawa West Ham nao ni wazuri ila mechi ya jana ndio ilikuwa nzuri zaidi, mbali na hapo ngoja tuone timu zitakavyo perform.
 
Kulikua na haja sana ya kutumia "pace na trickery" ya Martial kwenye winga mojawapo hasa kipindi cha pili...bahati mbaya sana kocha alikua na mawazo tofauti.
NB: Timu nyingi zinammezea mate Anthony ila hathaminiki OT, hadi Lingard yuko mbele yake kwenye pecking order!
Mourinho,good coach. Poor man management

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chelshit wapuuzi sana, kumuuza Matic to direct rivals? The guy's a hit asee.
 
Hilo nalo ni povu.. Maneno hayabadilishi uhalisia wa mtu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…