Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,555
- 21,508
Big thumb😀Mou hawezi kukubali mchezaji aje man u kama njia ya kwenda real madrid
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe Wakati sisi tumetulia kuna kikosi maalum kilienda kupima mkojo wa watu wa BLUE wakiongozwa na makemia mkuu everlenk?Naomba Mungu huyo siku tushinde maana everlenk alichofanya kwa majirani sijui.
Usilale dear nitakuamshaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Glory Glory Manchester United !!
All the best katika msimu huu ,msimu huu tukaingie katika utukufu mwingine,kama ni FA tunayo,Carling Nayo,Euro......
Eee Mungu msimu huu huu ni Premier tu na UEFA tu.....haki nimemiss ule utukufu haaaaaa!!! Those old good days baba!!!
Turudishie ile miaka iliyoliwa na fourth na fifths position,Baba nashukuru umesikia..... Twapokea Premier cup na UEFA cup in your almight name Amen....
Walahiiiiii!!!! nimelimisss hili li kapu la Premier na Uefa......
New Glory is coming up !!!!
GLORY GLORY MANCHESTER UNITED!!!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa kweli, tena yaanze mapema hayo maombi.Utaombewaaaa....
hahahahaa yaaani tunalo, ila mama mchungaji kashapewa maono lazma tushinde.Naomba Mungu huyo siku tushinde maana everlenk alichofanya kwa majirani sijui.
Usilale dear nitakuamshaa
Sent using Jamii Forums mobile app
mie sa mbili na nusu niko kitandani, ila nitajitahidi natafuta movie bomba ya kuniweka mpaka muda wa game.
nitajitahidi tujumuike pamoja.I hope, hutalala aisee. Tuangalie mechi
Natoa pongezi kwa wanazi wote wa Manchester united kwa kuuvamia na kuusasambua Uzi wa Chelsea .... Hawatasahau Yale mashambulizi ya Jana kutoka kwa Kamarada Enock Mwigane (everlink) na Mwalimu Gashasha (Sister)
Naomba team hii ipewe ulinzi wa kutosha , Mwenye namba ya Simon Sirro anipatie ili tuombe ulinzi si kwa kuuvamia Uzi wa Chelsea namna ile
Sent From My Nokia Ya Tochi
Wataka kusema nilikunukuu vibaya? mbaya zaidi umeibukia kwa jirani ilaa kheri cha muhimu uzima pia hongera kwa mapumziko uliojipa sisi tuliendelea kutupia japo mbili tatu mpaka umetukuta hapa. Karibu sana our first lady endelea kuongoza jahazi letu.Kaka jamani niliaga nilisema kipindi hicho mnisamehe kikiisha nitajaa tele n nikasema tutaonana August !!!
Yale mashambulizi yalikuwa ya kuteketeza kabisa sio ya mchezo yale.Natoa pongezi kwa wanazi wote wa Manchester united kwa kuuvamia na kuusasambua Uzi wa Chelsea .... Hawatasahau Yale mashambulizi ya Jana kutoka kwa Kamarada Enock Mwigane (everlink) na Mwalimu Gashasha (Sister)
Naomba team hii ipewe ulinzi wa kutosha , Mwenye namba ya Simon Sirro anipatie ili tuombe ulinzi si kwa kuuvamia Uzi wa Chelsea namna ile
Sent From My Nokia Ya Tochi
Kikosi kile kilipata baraka za bunge letu na ripoti itasomwa rasmi hapa bungeni uwakilishi wao uliotukuka kila mmoja kauona.Kumbe Wakati sisi tumetulia kuna kikosi maalum kilienda kupima mkojo wa watu wa BLUE wakiongozwa na makemia mkuu everlenk?
Mwaka huu nyekundu inatawala😡