Hiyo sio mimi nlieleta hizi taarifa, ni transfer rumors zinazotrend kwe vyombo vya habari vya michezo, halafu pia kuna wachezaji ukisikia unaweza ukasema never happening mfano herrera lakini sio fella,kwa fella anything can happen.
Chelsea must avoid a 'Jose Mourinho season', says Antonio Conte
Chelsea manager Antonio Conte says that he must avoid "a Mourinho season" as the champions attempt to defend their Premier League title.
Jose Mourinho won the league with Chelsea in 2015 but was sacked the next season with the club in 16th place.
"Two years ago Chelsea finished 10th; that cannot happen again," Conte said.
The last team to win back-to-back Premier League titles were Manchester United, who completed a hat-trick of successive wins in 2008-09.
"We know the difficulty and for sure we want to avoid the Mourinho season with Chelsea," Conte added.
"The coaches of the previous two champions [Chelsea and Leicester] both lost their jobs [the next season] and we are working very well to find the best solutions and use them," Conte said.
Mkuu umesema kweli yaani tuwe na mchezaji wa kujaribia kama ni mechi zake au hapana..... Tunahitaji mchezaji wa mechi zote labda itokee bahati mbaya siku hiyo mchezo sio bahati yake.