Mkuu hivi umeangalia vizuri kweli hii mechi..Fellain ni nguvu tu lakini akili ya mpira hamna..wale watoto kati walikuwa wanamkimbiza tena mmbaya zaidi baada ya Herrera kuumia na kutoka.
Hiyo inaonyesha tetesi za usajili, yupi anauwezekano mkubwa wakuhamia klabu moja kwenda klabu nyingine,huwa inatolewa kila siku,kiladakika mambo yanapokuwa mambo .
Mfano,chicharito hapo inaonesha kutoka Bayer kwenda west ham united.
Official: Eric Bailly has been banned for three matches by UEFA for his red card against Celta Vigo. [HASHTAG]#MUFC[/HASHTAG]
Hivi wanatutaka nn lakini toka msimu uliyopita mpaka Leo tena why?
Hiyo inaonyesha tetesi za usajili, yupi anauwezekano mkubwa wakuhamia klabu moja kwenda klabu nyingine,huwa inatolewa kila siku,kiladakika mambo yanapokuwa mambo .
Mfano,chicharito hapo inaonesha kutoka Bayer kwenda west ham united.